Hali ni mbaya, kazi yoyote inahitajika

Hali ni mbaya, kazi yoyote inahitajika

Mkuu umepata kazi ngapi za ku translate to kiswahili huko upwork/fiver/freelancer...?

Me nilikiwa nawaza nikipata muda ni jikite na mambo ya Database...!!
Sijafanya kwa kuwa sikuwa na muda. Translation inhitaji uwe na muda maana unakuta ni project haswa, unatafsiri li kitabu kikubwa.
Ila nilikuwa naziona kazi kadhaa ambazo ningeweza kuzifanya.

Kifupi usiende upwork kama huna muda wa kuinvest kuhakikisha unakuwa moja kati ya watu wa mwanzo kufanya bid, kujifunza namna za kuwin saikolojia ya mtoa kazi na mambo kadha wa kadha. Advantage utakayokuwa nayo ni kutoka nchi ambayo ni moja ya vitovu vya lugha. So ni quiet an investiment.

As of Database, inabidi uwe vizuri sana na uwe na sample za kazi zinazokutambulisha. Database ina competition worldwide so inabidi uwe vizuri sawia.

Unaweza pia check aina za kazi hiyo za remote toka Stackoverflow: Stack Overflow Jobs

Kila la heri! Pambana!
 
Kama ni ya kingereza napewa script (sifanyi kingereza huko hizi nazifanya na wajapan) hii ya netflix naifanyia kwenye online platform ya Deluxe Studios, unakuta ina subtitle za kingereza upande mmoja mimi naweka za kiswahili.
Hongera sana mkuu nafikiri mpaka kuamninika kupata hiyo kazi sio jambo rahisi?
 
Upo wap mkuu
Kutoka hapo ulipo tafuta namna ufike iringa town......
Kisha ingia stend ya zamani
Zama kwenye ndinga yoyote inayofika migori
Kisha njoo kuna watu wanamitumbwi huku haina watu wakuvulia samaki
Nb kilo ya samaki kwa sasa ni 4500
Nb kwenye maji kuna KIBOKO NA MAMBA WAKUTOSHA!
 
Ukiwa na ajira unaweza ukaona kama haya mambo madogo aseeh
Kweli kabisa


Unadhani hawajisikii vibaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana mkuu nafikiri mpaka kuamninika kupata hiyo kazi sio jambo rahisi?
Yes Netflix wanaofanya subtitling ni studio, miaka mitatu nyuma walianzidha kitengo chao cha subtitling wakawa ndiyo wanaajili subtitlers ila wakagundua wanajipa kazi so kazi ya subtitling wamezipa studios kadhaa, ikiwemo Deluxe Studio. Kabla ya kuchaguliwa unapiga paper lao ambalo ni timed, halafu, baada ya hapo unaenda training yao online unafanya paper zao mbili ambazo lazima ufaulu mia kwa mia kila moja. Naongelea kwa Deluxe sijajua hizo studio nyingine sasa.
 
Yes Netflix wanaofanya subtitling ni studio, miaka mitatu nyuma walianzidha kitengo chao cha subtitling wakawa ndiyo wanaajili subtitlers ila wakagundua wanajipa kazi so kazi ya subtitling wamezipa studios kadhaa, ikiwemo Deluxe Studio. Kabla ya kuchaguliwa unapiga paper lao ambalo ni timed, halafu, baada ya hapo unaenda training yao online unafanya paper zao mbili ambazo lazima ufaulu mia kwa mia kila moja. Naongelea kwa Deluxe sijajua hizo studio nyingine sasa.
Vizuri kwa maelezo mkuu!! Ni vitu gani wanaangalia kwenye hizo test zao?
 
Vizuri kwa maelezo mkuu!! Ni vitu gani wanaangalia kwenye hizo test zao?
Mkuu, test ya kwanza utapewa script mchanganyiko ya ovie kwa Kingerza uitafisiri na technical kwasababu ina matechnician wanaohusika kwenye movie production, na majina ya shots. Pia inapima uelewa wako wa lugha maana kuna maneno ya kingereza yanasema hivi ila yana maana nyingine ukiyatafsiri direct yanaleta maana tofauti na iliyokusudiwa.
Ukifaulu hiyo ndiyo sasa baadae watakuinvite kwenye platform yao ya sofara huko utakuta course zao tofauti ikiwemo subtitling for netflix. Utasoma utatazama tortorials utafanya mtihani hasa unahusu kanuni za kusubtitle for netflix na pia kutumia hiyo platform yao. Mtihani wa kwanza ukifail unaweza rudia mara tatu, ila mtihani wa pili inabidi upate 100 mara ya kwanza tu ukifail huwezi kurudia unahusiana na mambo ya copyright.
Subtitling ina kanuni na kila agency ina kanuni zake. Kuna ambao kwenye screen wanataka zisizidi character 43 na zisizidi mistari miwili. Ila netflix wana kanuni ngumu zaidi. Sema kwakuwa unakuwa watafsiri tu subtitle ambazo zishakuwa synched ni rahisi kwakuwa hizo kanuni hutozizingatia za sijui subtitle ikae sekunde ngapi kwa screen. Utakachozingatia ni characters na platform ina kuguide na kukuonyesha errors huwez submit ikakubali kama kuna errors.
 
Mkuu, test ya kwanza utapewa script mchanganyiko ya ovie kwa Kingerza uitafisiri na technical kwasababu ina matechnician wanaohusika kwenye movie production, na majina ya shots. Pia inapima uelewa wako wa lugha maana kuna maneno ya kingereza yanasema hivi ila yana maana nyingine ukiyatafsiri direct yanaleta maana tofauti na iliyokusudiwa.
Ukifaulu hiyo ndiyo sasa baadae watakuinvite kwenye platform yao ya sofara huko utakuta course zao tofauti ikiwemo subtitling for netflix. Utasoma utatazama tortorials utafanya mtihani hasa unahusu kanuni za kusubtitle for netflix na pia kutumia hiyo platform yao. Mtihani wa kwanza ukifail unaweza rudia mara tatu, ila mtihani wa pili inabidi upate 100 mara ya kwanza tu ukifail huwezi kurudia unahusiana na mambo ya copyright.
Subtitling ina kanuni na kila agency ina kanuni zake. Kuna ambao kwenye screen wanataka zisizidi character 43 na zisizidi mistari miwili. Ila netflix wana kanuni ngumu zaidi. Sema kwakuwa unakuwa watafsiri tu subtitle ambazo zishakuwa synched ni rahisi kwakuwa hizo kanuni hutozizingatia za sijui subtitle ikae sekunde ngapi kwa screen. Utakachozingatia ni characters na platform ina kuguide na kukuonyesha errors huwez submit ikakubali kama kuna errors.
Sawa sawa mkuu! Baada ya kusubmit hizo subtitles, kuna mtu mwingine anazipitia kwanza ili kuzipitisha?

Kwa ugumu wa kazi ulivyo na muda unaotumika , nafikiri watakuwa wanalipa vizuri?
 
Sawa sawa mkuu! Baada ya kusubmit hizo subtitles, kuna mtu mwingine anazipitia kwanza ili kuzipitisha?

Kwa ugumu wa kazi ulivyo na muda unaotumika , nafikiri watakuwa wanalipa vizuri?
1.3$ per minute run time. Yes wanahakiki kila kitu. Hawana tofauti na Huawei honor wanahakiki mpaka full stop. Hakuna kampuni ngumu ya kutafsiri UI zao kama Huawei honor. Yani hadi full stop, hadi space ikiongezeka au ikakosa ni kosa
 
1.3$ per minute run time. Yes wanahakiki kila kitu. Hawana tofauti na Huawei honor wanahakiki mpaka full stop. Hakuna kampuni ngumu ya kutafsiri UI zao kama Huawei honor. Yani hadi full stop, hadi space ikiongezeka au ikakosa ni kosa
Unatafsiri Huawei honor za global version kutoka Chinese to English? Au Hii pia inakuwa vipi.. ni jambo jipya kwangu kulifahamu
 
Unatafsiri Huawei honor za global version kutoka Chinese to English? Au Hii pia inakuwa vipi.. ni jambo jipya kwangu kulifahamu
No, English to Swahili mkuu. Kwa serious agencies achana na hawa wahindi. translator inabidi atafsiri from source language to native language not otherwise. Language is culture, na vigumu kujua culture kama wewe siyo native. Huawei, Uber, Yara wote hao ni from English to Swahili, kuanzia UI, firm alerts, email zao, sms. Na wana glossaries za maneno yao so unafanya kuyatumia ili kuwa na consistence. Recently nimefanya kazi nyingi za Uber, na UberConnect pia Yara na Huawei kiasi.
 
Mkuu, nakuthibitishia haya makampuni ya ulinzi leo watu wanadharau ila hii kazi itakuwa ni kimbilio la watu miaka 5 au 10 ijayo.

Mimi leo nina NSSF kama 2.5M kama ningetaka bima ningechukua, likizo ninapewa tena yenye malipo.

Yaani hata kujiajiri nina kianzio kabisa.
Hapo Garda Wana shift ya usiku?
 
Back
Top Bottom