mandwa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 1,493
- 361
Yaani pamoja na maelezo yote hapo mtu anataka umpigie.Wadau wametoa info hapo peleka cv na certificate copy umeelekezwa na ofisi ilipo.
Unatoa namba upigiwe?
Angalizo nenda ukiwa umevaa viatu inashangaza mtu anaenda ofisini akiwa amevaa sendoz utaishia getini nimeshuhudia watu wakirudishwa nyumbani