Yaani pamoja na maelezo yote hapo mtu anataka umpigie.Wadau wametoa info hapo peleka cv na certificate copy umeelekezwa na ofisi ilipo.
Unatoa namba upigiwe?
Hahahahaha hio sentensi ya mwisho ya wadudu hao ndio sababu ya mitumbwi haina watu!Upo wap mkuu
Kutoka hapo ulipo tafuta namna ufike iringa town......
Kisha ingia stend ya zamani
Zama kwenye ndinga yoyote inayofika migori
Kisha njoo kuna watu wanamitumbwi huku haina watu wakuvulia samaki
Nb kilo ya samaki kwa sasa ni 4500
Nb kwenye maji kuna KIBOKO NA MAMBA WAKUTOSHA!
Hahahahaha hio sentensi ya mwisho ya wadudu hao ndio sababu ya mitumbwi haina watu!
Namba zako za simu?Dah... Hata kula tu mtihani
Namba zako za simu?
Boss sisi wengine ni wageni mikocheni, naomba Location vizuri ili nifikePale garda wamepakana na kampuni ya wachina ya ulinzi pia kuna nafasi za kazi leo nimeenda nikaona tangazo kampuni inaitwa huayuan security
Dah pole sana mkuu,natamini kukusaidia ila sina uwezo huo. Ila naamini utapata msaada Mkuu,usikate tamaa.Hata chakula tu ni mtihani, msaada ndugu zangu.
Asante kwa kunipa moyoDah pole sana mkuu,natamini kukusaidia ila sina uwezo huo. Ila naamini utapata msaada Mkuu,usikate tamaa.
Unataka umtumie pesa?Namba zako za simu?
Kijana wa kiume?Nina rafiki yangu ni kijana wa kiume 24-25 nidaktari akienda jkt akarudi nyumbani connection ngumu,Kama yupo mwenye uhitaji wa mtu huyu clinical officer plz pm tumsaidie hata apate pesa ya kula na kuvaa.yupo Arusha.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Tatizo liko wapi hapo?Kijana wa kiume?
Hapana, n mwanamke wa kiume.Kijana wa kiume?
Bado unalialia njoo nikupe kazi ya kuuza nguo za mtumba mtaani mimi nanunua wewe unauza wakati Mimi nipo lindo mwanaumeMsaada wenu jamani
Mkuu hua una positive comments sana kwny issue za fiver na upwork. Hua nafatilia sana comment zako na za Nafaka. HongereniKazi yenye demand kubwa sana huko ambayo ni rahisi kupata ni content writing.
Ukienda Fiverr, ukajisajili unaandika makala. Pricing weka hata $5 kwa 500 words na $10 kwa 1,000 words.
Utapata orders mpaka ushindwe mwenyewe.
Muhimu ujue English na namna blog posts zinaandikwa, na ni kitu rahisi tu.
Kwa mwezi unaweza kujikuta unakunja mpaka $500 kirahisi tu.