Hali ni mbaya, kazi yoyote inahitajika

Hahahahaha hio sentensi ya mwisho ya wadudu hao ndio sababu ya mitumbwi haina watu!
 
Pale garda wamepakana na kampuni ya wachina ya ulinzi pia kuna nafasi za kazi leo nimeenda nikaona tangazo kampuni inaitwa huayuan security
Boss sisi wengine ni wageni mikocheni, naomba Location vizuri ili nifike
 
Nina rafiki yangu ni kijana wa kiume 24-25 nidaktari akienda jkt akarudi nyumbani connection ngumu,Kama yupo mwenye uhitaji wa mtu huyu clinical officer plz pm tumsaidie hata apate pesa ya kula na kuvaa.yupo Arusha.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hua una positive comments sana kwny issue za fiver na upwork. Hua nafatilia sana comment zako na za Nafaka. Hongereni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…