Utapakatwa mtoto wa kiume jishughulishe uoni aibu pambana.Hata kula tatizo, duh
dah sio uungwana tumia lugha nzuri Mungu hapendi kauli hizi.Pia hapa ni Home of Intellectuals hata mtu akikuudhi usitumie kauli mbayaUtapakatwa mtoto wa kiume jishughulishe uoni aibu pambana.
Pole sana mkuu......Hata kula tatizo, duh
Hawana namba ya cm , unisaidie nimtumie mdogoangu awapigie coz ye ni mrefu na Yuko mkoan ,Yuko tayar kwenda mkoa wowote watakaompangiaBinafsi maisha yangu nayajua mimi mwenyewe, hakuna mtu yeyote anaeweza kucontrol maisha yangu.
Maisha ya wabongo wengi bado ni magumu. Nashangaa unakuta mtu anamcheka mwingine eti ni mlinzi wakati ukimwangalia yeye wewe una afadhali.
Mfano huko Garda wanapima urefu, kuna watu wanapimwa wanakutwa wafupi, wiki inayofuata wanaenda tena ( yaani mtu anahisi ameshakua )
Kuna vitu unaweza kuviona ni vya kawaida ila kuna watu wanatumia nguvu sana kuvitafuta, kuvipata au wanaishia kutokuvipata kabisa.
acha niende kujaribu, na hichi kichina cha kuombea maji nna weza okota dodo chini ya mnazi.Pale garda wamepakana na kampuni ya wachina ya ulinzi pia kuna nafasi za kazi leo nimeenda nikaona tangazo kampuni inaitwa huayuan security
Urefu unaotakiwa ni cm au nchi ngapi?Binafsi maisha yangu nayajua mimi mwenyewe, hakuna mtu yeyote anaeweza kucontrol maisha yangu.
Maisha ya wabongo wengi bado ni magumu. Nashangaa unakuta mtu anamcheka mwingine eti ni mlinzi wakati ukimwangalia yeye wewe una afadhali.
Mfano huko Garda wanapima urefu, kuna watu wanapimwa wanakutwa wafupi, wiki inayofuata wanaenda tena ( yaani mtu anahisi ameshakua )
Kuna vitu unaweza kuviona ni vya kawaida ila kuna watu wanatumia nguvu sana kuvitafuta, kuvipata au wanaishia kutokuvipata kabisa.
aende A to Z kisongo wanaingiza watuNina rafiki yangu ni kijana wa kiume 24-25 nidaktari akienda jkt akarudi nyumbani connection ngumu,Kama yupo mwenye uhitaji wa mtu huyu clinical officer plz pm tumsaidie hata apate pesa ya kula na kuvaa.yupo Arusha.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app