DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasahiv ukienda kweny maofis mengi utakuta wadada wazuri wenye mashepu Yao ndo wamejaa!! Lakn wenye kigezo Cha ueledi wachache!! Mtanisamehe naongea nilichokishuhudia
 
Kiukweli kaka magroup ni mengi lakn hakuna solution ya watu woote!! NtakupM angalau naweza nikapa sehem ya kuegemea
 
Ni kweli Hilo jambo
 
Na appreciate comment yako kiongozi
 
Pole na hongera kuweza kutembea tena

Nimekuwa natembea na hiyo slogan kwamba yeyote aliye mzima wa viungo ni mlemavu mtarajiwa baada ya kuona marafiki zangu wawili ambao walikuwa wazima wa afya kupata ajali na kupoteza viungo vyao baadhi na kuwa Wategemezi sasa.

Kweli hujafa hujaumbika πŸ™Œ
 
Bora hata wangetupa haki sawa na ambao hawana ulemavu, badala yake sisi hawatutaki sio kwasababu ya ukosefu wa ajira! Ni kwasababu ya kutotaka walemav
 
Hivi hakuna kiongozi yoyote mwajiriwa wa serikali ambaye ni mlemavu?Kama yupo,sasa yeye ndiyo inabidi apaze sauti kuwasaidia walemavu wangine.Sema yana mwisho Mkuu.
Yupo Keisha kule!! Lakn huwezi saidika
 
Ila kama sio mlemavu wa akili bado.una fursa ya kupata ajira na kuleta mabadiliko katika maisha Yako

Pole sana
Ajira hatupewi, si serikalini Wala private!! Nafuu wakati mwingne hata private Kuna watu wanamoyo kidogo, lakn huku sasa ni balaa
 
Ni kweli nili ishi ulemavu wa mpito niliona jinsi ILIVYO changamoto niliota sugu makwapani na kwenye viganja vya mikono yote miwili yalikua ni Maumivu Zaid na zaidi nawaheshimu Sana Sana walemavu.
 
Ni kweli nili ishi ulemavu wa mpito niliona jinsi ILIVYO changamoto niliota sugu makwapani na kwenye viganja vya mikono yote miwili yalikua ni Maumivu Zaid na zaidi nawaheshimu Sana Sana walemavu.
Pole sana Mkuu, lakini Mungu wetu ni mwema πŸ™πŸ™πŸ™
 
Usijihisi mnyonge pambana na interview utabahatika tu siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…