Afadhari hii mada umeweka hapa.
Hii nchi ina mambo ya Ajabu sijawahi ona, yaan mtu ana ajiriwa hadi kwa kuangaliwa Sexual Orientation yake, huu si upumbavu kabisa.
Kazi haiihitaji sexual affairs, inahusu mambo mengine kabisa, lakini hapo utaangalizwa hadi nani una date nae, km si ulofa n nn?
Li nchi ndo maana haliendelei, kutwaa ubaguzi wa kipumbavu usio na tija, una muacha mtu mwenye vigezo na sifa stahiki kwa kazi husika, kisa mapungufu yake, na una mchukua mwingine hata hajui lolote kisa ana ukamilifu fulani, jamani inaumiza hatariii.
Tupaze sauti, kuondoa sintofahamu hii.