DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ogopa teknolojia!


emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
kuna mtu aliwahi nambia ukienda makumbusho utajikuta unakodolea macho watu, hiyo siku nkawaka na kusepea hapo maeneo, cha ajabu wao wakawa wananikodolea mie macho, afu cna habariii.


Sasa km hiyo ni comment angu, ndo nilisema mie ni Bonge la pisi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], au mie ndo sijui kusoma?
 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Lengo la elimu ni kuelimika, sio kuajiriwa
 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana

Kuna suala la nyongeza nimelifikiria.

Haki za walemavu ni haki za binadamu, bila kujali mlemavu amesoma au hajasoma.

Kwa mfano, haki za mlemavu kuwa na wheelchair accesssible ramps kwenye public spaces, kuwa na access ya lift kupanda maghorofani sehemu za umma, hata kuwa na sign language interpreters kwa walio na ulemavu wa kusikia, hizi ni haki za binadamu bila kujali mlemavu kasoma au hajasoma.

Unaweza kuijua jamii kama imestaarabika au haijastaarabika kwa jinsi inavyowatendea wakemavu.
 
Pole sana mkuu.

Umejaribu kupitia ajira portal ?.
Huko private nina-uzoefu nako ni kugumu sana kwa watu wenye ulemavu kukupokea na sometime huwezi kuwalaumu, wale wanaangalia faida zaidi kuliko hali zetu. Na baadhi ya taasisi za serikali hawazingatii kabisa izo 3% na 50% ufaulu za walemavu kwenye ajira zao sijui kwanini.

Kuna group kubwa la whatsap la watu walemavu, nile namba PM wakuunge.
Usiseme "watu walemavu" sema "watu wenye ulemavu".
 
ungekuwa mlemavu, ambaye ulisumbuka kusoma kwa bidii, ili angalau ujikwamue;! Halafu mtu akupe sababu Kama hizo

Kwamba hata kuajiri kwasababu hajajenga barabara kwa ajili yako!! Inauma

Sijui Kama unaujua uchungu wa kushinda njaa Hali ukiwa na vyeti kabatin
Sitetei.. Ni changamoto kweli.
 
Aione waziri Gwajima, na wenzake kama Riziwan, na Simbachawene. Wao ndio wahusika wakuu.

Mawazo yangu, walemavu waliosoma wangepewa ajira moja kwa moja kutoka vyuoni, yani direct employment kuliko kusumbuka kuomba.

Kwani ni wangapi hadi serikali ishindwe kuwaajiri?
 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Siku zote mim husema mlemavu ni ale alale lkn nani wa kumlisha na kumpa makazi? Eti naye asome afanye kazi hii si sawa, kama kungekuwa na uadilifu jamii ya kwanza kupewa kipaumbele ni walemavu wakitoka chuo Moja kwa Moja kazini lkn nani anawathamini?
 
Watu wamekuwa wabinafsi ila nafasi zenu kisheria zipo kabisa...Hii hata bungeni ilitakiwa kuwe na asilimia kwa watu special .
Hii imebaki mdomoni tuu kiuhalisia hakuna utekelezaji, lakn Kuna umuhimu Walemavu wapewe ajira pindi tu wamalizapo vyuo!! Hii itahamasisha na wengine wanaotaman kusoma
 
Kuna suala la nyongeza nimelifikiria.

Haki za walemavu ni haki za binadamu, bila kujali mlemavu amesoma au hajasoma.

Kwa mfano, haki za mlemavu kuwa na wheelchair accesssible ramps kwenye public spaces, kuwa na access ya lift kupanda maghorofani sehemu za umma, hata kuwa na sign language interpreters kwa walio na ulemavu wa kusikia, hizi ni haki za binadamu bila kujali mlemavu kasoma au hajasoma.

Unaweza kuijua jamii kama imestaarabika au haijastaarabika kwa jinsi inavyowatendea wakemavu.
Hakika mkuu!
 
Lengo la elimu ni kuelimika, sio kuajiriwa
Ni kweli usemacho .. lakn unaelimika katika engo ipi!

Pia nimegusia kweny upande wa ajira Zinazotolewa na serikali na watu binafsi ambazo zinaweza kusapot maisha ya mtu!! Hata kwa uchache
 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Allah yupo usihofu
 
Aione waziri Gwajima, na wenzake kama Riziwan, na Simbachawene. Wao ndio wahusika wakuu.

Mawazo yangu, walemavu waliosoma wangepewa ajira moja kwa moja kutoka vyuoni, yani direct employment kuliko kusumbuka kuomba.

Kwani ni wangapi hadi serikali ishindwe kuwaajiri?
Hasa ndo jambo la muhim hili! Kwasababu si wengi kweny jamii, angalau chuo unakuta wawili au watatu
 
Siku zote mim husema mlemavu ni ale alale lkn nani wa kumlisha na kumpa makazi? Eti naye asome afanye kazi hii si sawa, kama kungekuwa na uadilifu jamii ya kwanza kupewa kipaumbele ni walemavu wakitoka chuo Moja kwa Moja kazini lkn nani anawathamini?
JF pamoja na wadau

Hili jambo ni la kijamii.. hili kundi linazidi kukaa mtaani huku wakiwa na elimu zao.

Watakata tamaa walio nyuma yetu kusoma mwisho tupate jamii ya ajabu..

Tanzania inapiga hatua nyingi mbele .. sisi inatuacha nyuma sana!! Mwisho tunakuwa sio sehem ya Tanzania kimaendeleo
 
Nikikumbuka Jinsi tunavyo husle kusoma kwa bidii kwa kua tuna option chache sana, najihis mnyonge tuu
Pole sana mkuu.One day Yes.

Japo wachache wenu wanazingua.Kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi Mwanza kabla sijahamia Arusha nilienda ofsi flani nikakuta mtu mwenye ulemavu wa viungo aiseee nilijuta ana majibu ya hovyo yule usiombe kukutana nae.
 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Pole sana mkuu
 
JF pamoja na wadau

Hili jambo ni la kijamii.. hili kundi linazidi kukaa mtaani huku wakiwa na elimu zao.

Watakata tamaa walio nyuma yetu kusoma mwisho tupate jamii ya ajabu..

Tanzania inapiga hatua nyingi mbele .. sisi inatuacha nyuma sana!! Mwisho tunakuwa sio sehem ya Tanzania kimaendeleo
Kabisa yaani Tena ilikuwa hata bila kusoma mlemavu yeyote awe na ruzuku kabisa na inawezekana lkn nani wakufanya Hilo? Watu wazima jua linawakia utosini walemavu Hali iko vipi? Ushaur: wapatiwe ruzuku ya kujikimu Kila mwezi Ili nao wafurahie maisha na Hilo linawezekana.
 
Back
Top Bottom