Uchaguzi 2020 Hali ni mbaya, sitisheni Kampeni mkajipange Upya

Uchaguzi 2020 Hali ni mbaya, sitisheni Kampeni mkajipange Upya

Wana mwanza tunawashukuru mno leo mmetutoa kimasomaso.
Sisi wanafunzi wa Primary na Secondary tunasema asante sana
tapatalk_1599508568160.jpeg
tapatalk_1599508577373.jpeg
tapatalk_1599508722232.jpeg
 
Hongera Ilani ya Nilipigwa Risasi 32, Mimi ni Mkenya, Mbeligiji, na Damu za wanaoitwa Mabeberu n.k. Jamani naomba kura Mimi siwezi kuwa kama Majalala yanayotumikia Ofisi za Serikali. He is very stupid, than we think. Is that Politics that can convince voters to vot him. It is stupidity.
Watanzania tuna akili zetu, Watandikane Risasi wenyewe kwa Maslahi ya misiasa yao na huruma tuwaonee cc namba....u
Hii singo tulishaichoka anzisha nyingine!
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Hali ni mbaya "nyumbani kwako" upande huu tunajua tunashinda kwenye kura sio mitandaoni na "sensational headings" mnajidanganya kama ilivyokuwa "2015" wewe jiulize kwanani Mwenyekiti wa saccos hajagombea Urahisi??,
Kwani Yeye hataki madaraka??
Huku anangangania Uwenyekiti.???
Huyo Anti yeye anajua baada ya uchaguzi huyo anaenda zake ughaibuni, he have got nothing to loose.
 
Kifungu kipi cha sheria!
Mkuu husomi hata maadili ya Uchaguzi. T B C wanaliongelea kila siku? Iko waz, ukitaka kufanya hivyo, iwe pale ambapo kwa uhakika wenyeji hawajui Kiswahili na utapaswa kutumia mkalimani.
 
Wana-mwanza wa darasa la tatu B wanasema wanashukuru na nyie mmewatoa kimasomo-masomo mkawaomba kura ambazo hawapigi 🤣View attachment 1562394
Hao ni Chipukizi na ni Ushahidi tosha kuwa Upinzani una safari ndefu sana kuitoa CCM madarakani ,

Future ya CCM ni guaranteed,

Taasisi yeyote bila future ni taasisi mfu, wakati nyie mkiendelea kukebehi hapa mkumbuke kuwa hawa ndio mtapambana nao baadae.
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Weraa weraaa
 
Back
Top Bottom