Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nimecheka sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wanafunzi wa Primary na Secondary tunasema asante sanaWana mwanza tunawashukuru mno leo mmetutoa kimasomaso.
Ogopa sana imefika hatua mtu anawaomba kura watoto wa darasa la 3 🤣🤣🤣
Wana-mwanza wa darasa la tatu B wanasema wanashukuru na nyie mmewatoa kimasomo-masomo mkawaomba kura ambazo hawapigi 🤣Wana mwanza tunawashukuru mno leo mmetutoa kimasomaso.
Milioni 50 kila kijijiUpinzani ulishajifia tangu 2015, kilichobaki kwa Sasa ni futuhi.
Milioni 50 kila kijiji
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
[/QUOT
Nenda kaangalie Nyomi LA Silinde Huko TUNDUMA hahaha kalipita hata nyomi LA Lissu sasa ndio mjue akienda Magufuri Tunaifuta kabisa Shoga Party
Hahaha wazee wako mkutanoni.Naskia wapiga kura wa ccm mwanza ni watoto wa miaka 10 mpka 17View attachment 1562090
Hii singo tulishaichoka anzisha nyingine!Hongera Ilani ya Nilipigwa Risasi 32, Mimi ni Mkenya, Mbeligiji, na Damu za wanaoitwa Mabeberu n.k. Jamani naomba kura Mimi siwezi kuwa kama Majalala yanayotumikia Ofisi za Serikali. He is very stupid, than we think. Is that Politics that can convince voters to vot him. It is stupidity.
Watanzania tuna akili zetu, Watandikane Risasi wenyewe kwa Maslahi ya misiasa yao na huruma tuwaonee cc namba....u
Hali ni mbaya "nyumbani kwako" upande huu tunajua tunashinda kwenye kura sio mitandaoni na "sensational headings" mnajidanganya kama ilivyokuwa "2015" wewe jiulize kwanani Mwenyekiti wa saccos hajagombea Urahisi??,Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.
Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.
Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.
Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.
Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.
Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Mkuu husomi hata maadili ya Uchaguzi. T B C wanaliongelea kila siku? Iko waz, ukitaka kufanya hivyo, iwe pale ambapo kwa uhakika wenyeji hawajui Kiswahili na utapaswa kutumia mkalimani.Kifungu kipi cha sheria!
Hao ni Chipukizi na ni Ushahidi tosha kuwa Upinzani una safari ndefu sana kuitoa CCM madarakani ,Wana-mwanza wa darasa la tatu B wanasema wanashukuru na nyie mmewatoa kimasomo-masomo mkawaomba kura ambazo hawapigi 🤣View attachment 1562394
Weraa weraaaMwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.
Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.
Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.
Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.
Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.
Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.