Uchaguzi 2020 Hali ni mbaya, sitisheni Kampeni mkajipange Upya

Hii singo tulishaichoka anzisha nyingine!
 
Hali ni mbaya "nyumbani kwako" upande huu tunajua tunashinda kwenye kura sio mitandaoni na "sensational headings" mnajidanganya kama ilivyokuwa "2015" wewe jiulize kwanani Mwenyekiti wa saccos hajagombea Urahisi??,
Kwani Yeye hataki madaraka??
Huku anangangania Uwenyekiti.???
Huyo Anti yeye anajua baada ya uchaguzi huyo anaenda zake ughaibuni, he have got nothing to loose.
 
Kifungu kipi cha sheria!
Mkuu husomi hata maadili ya Uchaguzi. T B C wanaliongelea kila siku? Iko waz, ukitaka kufanya hivyo, iwe pale ambapo kwa uhakika wenyeji hawajui Kiswahili na utapaswa kutumia mkalimani.
 
Wana-mwanza wa darasa la tatu B wanasema wanashukuru na nyie mmewatoa kimasomo-masomo mkawaomba kura ambazo hawapigi 🤣View attachment 1562394
Hao ni Chipukizi na ni Ushahidi tosha kuwa Upinzani una safari ndefu sana kuitoa CCM madarakani ,

Future ya CCM ni guaranteed,

Taasisi yeyote bila future ni taasisi mfu, wakati nyie mkiendelea kukebehi hapa mkumbuke kuwa hawa ndio mtapambana nao baadae.
 
Weraa weraaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…