Uchaguzi 2020 Hali ni mbaya, sitisheni Kampeni mkajipange Upya

Uchaguzi 2020 Hali ni mbaya, sitisheni Kampeni mkajipange Upya

Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
"WENZANGU WOTE WALIOFUATA BAADA YA MWL. NYERERE MLIWAPA MIAKA 10. KWA NINI MIMI MNATAKA KUNIPA MIAKA 5 TU?. WANAOSEMA WATANIONGEZEA NA MIMI MIAKA MINGINE 5 WASEME NDIYOOOOOO! WANAOKATAA WASEME SIYOO! WALIOSEMA NDIYO WAMESHINDA. ASANTENI SANA, MNIONGEZEE 5 JAMANI. KWANI NIMEWAKOSEA NINI?" (MAGU, 07/09/2020)
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Kuna mmoja Diwani jana kule bunda alisema Rais aliahidi maji lakini ni miaka 3 sasa hakuna utekelezaji wowote. Nilijua pale pale Magufuli atamzabua kibao. Lakini ndio ilikuwa ukweli.
 
Hadi aombe msamaha kwa maovu w
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Hadi aombe msamaha kwa maovu waliyofanyiwa Watanzania katika kipindi chake huku akikosa hata kukemea tu,watu hawajawajibishwa kwa matukio ya kigaidi kama utekaji,mauaji,kupotea na kushambuliwa ndani ya Government Premises.Miaka mitatu hakuna upelelezi wa kueleweka na maisha yanaendelea.Kama utawala wa sheria ungekuwa unazingatiwa serikali ingejiuzulu,ni kukosa uwajibikaji wa kiwango cha juu sana na hauvumiliki ila hapa nyumbani inaonekana kawaida.Aibu!
 
Upinzani ulishajifia tangu 2015, kilichobaki kwa Sasa ni futuhi.
Haaaaa[emoji2957]
FB_IMG_1599497649345.jpg
FB_IMG_1599498015248.jpg
FB_IMG_1599498021742.jpg
 
Yaan hawa ccm hawana lolotr. Ni mwendo wa kujitekenya na kucheka wenyewe
Kama CCM wanajitekenya na kucheka wenyewe nyie hapa mtakuwa mnafanyia nini? kwani kampeni za CCM zinawahusu nini nyie kweli?
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Hii ni mwz watoto wamebebwa na mabasi kuja kumuona chibu sio kampeni
IMG_20200907_200047.jpeg
 
Ccm bila polisi na NEC ni sawa na tlp
 
Back
Top Bottom