Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Wakuuu mabomu yameanza mtwara.........hata kwa bomba la peni hakuna gesi kutoka
[h=5]Jamani wasingesema gesi inatoka maana hali yetu ni kufa na kupona,watotot wamefungiwa mashuleni walimu wamekimbia,yaani mtwara leo hapakaliki[/h]
[h=5]Jamani wasingesema gesi inatoka maana hali yetu ni kufa na kupona,watotot wamefungiwa mashuleni walimu wamekimbia,yaani mtwara leo hapakaliki[/h]