Elineema J Mosi
JF-Expert Member
- May 17, 2013
- 808
- 148
Na kuuza bangi!
Poleni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuuza bangi!
wakuu mwenye kujua mjini MTWARA,LINDI kuna km ngapi za lami??
cc THE BIG SHOW
gesi kuchimbwa itachimbwa ila cha kujua mtwara au tanzania ndio vurugu zinaingia hivyo. MNAODHANI NI WANAHARAKATI KUCHOCHEA AU KUSHABIKIA VURUGU MNAWAANGAMIZA HAWA WATU. MAANA HATA KILE KIDOGO AMBACHO WALIKUWA WANAKIPATA KITAKIMBIA KUPITIA VURUGU.
CHA KUFANYA SI KUSHABIKIA VURUGU BALI KUTOA MWONGOZO ILI WANANCHI WADAI HAKI ZAO KWA NJIA SAHIHI NA WAFANIKIWE SIO KUDAI HAKI WAKAISHIA KUWA WAKIMBIZI
Wanajua nyie ni mabwege ndo maana
Ni baada ya kukunwa na hotuba ya waziri wa nishati wakati anawasilisha hotuba yake kuwa gesi itawanufaisha kwanza wanamtwara na mikoa ya jirani kabla ya maeneo mengine ya nchi..vijana wanasherehekea mitaani na kumpongeza muhongo
Mabomu yanaendelea sana sasa mtwara,
hali ni mbaya sana,nipo shangani maeneo ya nyumba ya hawa ghasia,mabomu hapa yanapigwa sana...
Jk na serikali yake wanadhani watatumia polisi siku zote..ipo siku itafika..gadafi hakufikiri kama kuna siku ataingizwa mitiji matakoni na kufa kifo cha fedheha kama vile...angalizo Mods sijatukana hapa nimenukuu tu maana nina damu ya kunguni humu jf bani zinaniandama na
acha umbumbu haujajbu swali kama lilivyoulizwa.. Lizaboni