Hali ni tete sana, nini kifanyike?

Hali ni tete sana, nini kifanyike?

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
Kama humu ndani kuna walimu kuanzia ngazi ya awali mpaka university mtakubaliana nami katika Idadi ya watoto wa kike katika shule za awali hadi Msingi ni kubwa kuliko watoto wa kiume,nenda shule yoyote ya msingi, sekondari au chuo kikuu utagundua hilo.

Mfano kwa sasa hapa University of Dar es Salaam,Wanafunzi wa Mwaka wa 4 wanaosoma sheria- vijana wa kike ni mara 2 ya vijana wa kiume. Yani 100 kwa 50, unaweza kusema labda kwa kuwa wanawake wengi wanapendelea kusoma sharia kuliko wanaume but its irrelevant maana hata kwenye kozi zingine napo ni hivyo hivyo.mwaaka Juzi nilitembelea shule za msingi za Mkoa wa Njombe katika shule zote,hakuna darasa hata 1 ambalo idadi ya wavulana ni kubwa kuliko wasichana.

Kwa uchunguzi mdogo niliofunya nimegundua issue sio kuwa watoto wa kike wana akili kuliko wanaume bali ni kuwa uzazi, watoto wa kike wanazaliwa kwa wingi kuliko wa kiume. Takwimu zinaonesha kati ya watoto 100 wanaozaliwa kwa siku 60 pekee ndio wa kiume, vilevile vifo kwa watoto chini ya miaka 5 watoto wa kiume wanafariki sana kuliko wa kike.

Swali hapa ni kuwa kwa nini kupata watoto wa kiume imekuwa kazi kubwa?na kwa nini watoto wa kiume wanakufa sana wakiwa wadogo kuliko wa kike? Nini kifanyike ndugu sana JF. Naona miaka ijayo wanaume tutafutika kabisa kwenye uso wa Dunia.
 
Kama humu ndani kuna walimu kuanzia ngazi ya awali mpaka university mtakubaliana nami katika hili .Idadi ya watoto wa kike katika shule za awali hadi Msingi ni kubwa kuliko watoto wa kiume,nenda shule yoyote ya msingi,sekondari au chuo kikuu utagundua hilo.

Mfano kwa sasa hapa University of Dar es Salaam,Wanafunzi wa Mwaka wa 4 wanaosoma sheria- vijana wa kike ni mara 2 ya vijana wa kiume. Yani 100 kwa 50,unaweza kusema labda kwa kuwa wanawake wengi wanapendelea kusoma sharia kuliko wanaume but its irrelevant maana hata kwenye kozi zingine napo ni hivyo hivyo.mwaaka Juzi nilitembelea shule za msingi za Mkoa wa Njombe katika shule zote,hakuna darasa hata 1 ambalo idadi ya wavulana ni kubwa kuliko wasichana.

Kwa uchunguzi mdogo niliofunya nimegundua issue sio kuwa watoto wa kike wana akili kuliko wanaume bali ni kuwa uzazi,watoto wa kike wanazaliwa kwa wingi kuliko wa kiume.takwimu zinaonesha kati ya watoto 100 wanaozaliwa kwa siku 60 pekee ndio wa kiume,vilevile vifo kwa watoto chini ya miaka 5 watoto wa kiume wanafariki sana kuliko wa kike.

Swali hapa ni kuwa kwa nini kupata watoto wa kiume imekuwa kazi kubwa?na kwa nini watoto wa kiume wanakufa sana wakiwa wadogo kuliko wa kike? Nini kifanyike ndugu sana Jf.Naona miaka ijayo wanaume tutafutika kabisa kwenye uso wa Dunia.
Ngoja mnyooshwe mlizoea kukandamiza Watoto wa kike..

Na Mimi Binti yangu yumo..

Mwisho zaeni sana Wanaume
 
Sijui nini kifanyike mi naona tu tunywe Pepsi au labda tuviuwe vikiwa vitoto
Mkuu unataka kutumia mbinu ya Mfalme Herode aliposikia habari za kuzaliwa kwa Yesu Kristo alipoamua kuwaua watoto wote wa Kiume wenye miaka 2 kushuka chini 😢

Hiyo siyo njia nzuri, pili ni dhambi kwa Mungu.

Muhimu huku Kanisani waruhusu tuoe wake zaidi ya wawili
 
There is joy and revelry, slaughtering of cattle and killing of sheep, eating of meat and drinking of wine! “Let us eat and drink,” you say, “for tomorrow we die!” Isaiah 22:13
 
Nature ndio ipo hivyo kwa viumbe hai wote, mimea na wanyama. Dume mmoja kwa wanawake wengi. Lakini pia kuna study zinaendelea, inasemekana Y chromosome ina mutate na inakosa nguvu so X inazidi kutawala.
nadhani kuna mashiko katika hili,ni jambo la kushangaza kwa kweli but why Y ikose nguvu kuliko X hapa napo kuna jambo
 
Mkuu unataka kutumia mbinu ya Mfalme Herode aliposikia habari za kuzaliwa kwa Yesu Kristo alipoamua kuwaua watoto wote wa Kiume wenye miaka 2 kushuka chini 😢

Hiyo siyo njia nzuri, pili ni dhambi kwa Mungu.

Muhimu huku Kanisani waruhusu tuoe wake zaidi ya wawili
itaruhusiwaje ndoa ya wake wawili Kwan Kuna amendment?
 
itaruhusiwaje ndoa ya wake wawili Kwan Kuna amendment?
Ndiyo tunaomba ninyi viongozi wa Kanisa muelewe ombi letu. Bila kufanya hivyo kuna baadhi ya Wanawake watakosa wame
 
Ndiyo tunaomba ninyi viongozi wa Kanisa muelewe ombi letu. Bila kufanya hivyo kuna baadhi ya Wanawake watakosa wame
Kama kuna dem kakosa mume anipe namba yake nitakua na kipindi cha maombi kwa mmoja mmoja
 
Kama humu ndani kuna walimu kuanzia ngazi ya awali mpaka university mtakubaliana nami katika Idadi ya watoto wa kike katika shule za awali hadi Msingi ni kubwa kuliko watoto wa kiume,nenda shule yoyote ya msingi, sekondari au chuo kikuu utagundua hilo.

Mfano kwa sasa hapa University of Dar es Salaam,Wanafunzi wa Mwaka wa 4 wanaosoma sheria- vijana wa kike ni mara 2 ya vijana wa kiume. Yani 100 kwa 50, unaweza kusema labda kwa kuwa wanawake wengi wanapendelea kusoma sharia kuliko wanaume but its irrelevant maana hata kwenye kozi zingine napo ni hivyo hivyo.mwaaka Juzi nilitembelea shule za msingi za Mkoa wa Njombe katika shule zote,hakuna darasa hata 1 ambalo idadi ya wavulana ni kubwa kuliko wasichana.

Kwa uchunguzi mdogo niliofunya nimegundua issue sio kuwa watoto wa kike wana akili kuliko wanaume bali ni kuwa uzazi, watoto wa kike wanazaliwa kwa wingi kuliko wa kiume. Takwimu zinaonesha kati ya watoto 100 wanaozaliwa kwa siku 60 pekee ndio wa kiume, vilevile vifo kwa watoto chini ya miaka 5 watoto wa kiume wanafariki sana kuliko wa kike.

Swali hapa ni kuwa kwa nini kupata watoto wa kiume imekuwa kazi kubwa?na kwa nini watoto wa kiume wanakufa sana wakiwa wadogo kuliko wa kike? Nini kifanyike ndugu sana JF. Naona miaka ijayo wanaume tutafutika kabisa kwenye uso wa Dunia.
Wanaume badilisheni vyakula.dona hamtaki,mtama hamtaki,viazi,mihogo hamtaki.NGUVU MNAPATA WAPI ZA KUTOA YYY ZIWAHI KUINGIA KUTUNGA ME???
 
Back
Top Bottom