Hali ni tete sana, nini kifanyike?

Hali ni tete sana, nini kifanyike?

Kama humu ndani kuna walimu kuanzia ngazi ya awali mpaka university mtakubaliana nami katika Idadi ya watoto wa kike katika shule za awali hadi Msingi ni kubwa kuliko watoto wa kiume,nenda shule yoyote ya msingi, sekondari au chuo kikuu utagundua hilo.

Mfano kwa sasa hapa University of Dar es Salaam,Wanafunzi wa Mwaka wa 4 wanaosoma sheria- vijana wa kike ni mara 2 ya vijana wa kiume. Yani 100 kwa 50, unaweza kusema labda kwa kuwa wanawake wengi wanapendelea kusoma sharia kuliko wanaume but its irrelevant maana hata kwenye kozi zingine napo ni hivyo hivyo.mwaaka Juzi nilitembelea shule za msingi za Mkoa wa Njombe katika shule zote,hakuna darasa hata 1 ambalo idadi ya wavulana ni kubwa kuliko wasichana.

Kwa uchunguzi mdogo niliofunya nimegundua issue sio kuwa watoto wa kike wana akili kuliko wanaume bali ni kuwa uzazi, watoto wa kike wanazaliwa kwa wingi kuliko wa kiume. Takwimu zinaonesha kati ya watoto 100 wanaozaliwa kwa siku 60 pekee ndio wa kiume, vilevile vifo kwa watoto chini ya miaka 5 watoto wa kiume wanafariki sana kuliko wa kike.

Swali hapa ni kuwa kwa nini kupata watoto wa kiume imekuwa kazi kubwa?na kwa nini watoto wa kiume wanakufa sana wakiwa wadogo kuliko wa kike? Nini kifanyike ndugu sana JF. Naona miaka ijayo wanaume tutafutika kabisa kwenye uso wa Dunia.
Hakuna tatizo lolote ni ukusanyaji wako wa takwimu ndio mbovu. Huwezi kwenda Oysterbay Dar ukaona hali ya makazi ya watu pale halafu uka generalize kwamba Dar yote hali ipo hivyo. Fanya utafiti vizuri zaidi.
 
Kwa mjibu wa Sensa ,wanawake wanawazidi wanaume kwa idadi ya 1.5M tu
Kulikuwa hilo ulilolisema? Umakini ulikuwa mdogo sana sana.
Ilikuwa ni kulipana posho na kununua vishikwambi bora ijilikane tulifanya kazi hiyo.
Mfano : Hawakuweza kutofaitosha shule za serikali na binafsi kikata, kiwilaya, kimkoa hadi Taifa bali walisema mkoa una shule 125 kwa mfano.
 
Mbona iyo ni takwimu ya kidunia haitaji kushangaa wanawake ni wengi KULIKO WANAUME
 
Kama humu ndani kuna walimu kuanzia ngazi ya awali mpaka university mtakubaliana nami katika Idadi ya watoto wa kike katika shule za awali hadi Msingi ni kubwa kuliko watoto wa kiume,nenda shule yoyote ya msingi, sekondari au chuo kikuu utagundua hilo.

Mfano kwa sasa hapa University of Dar es Salaam,Wanafunzi wa Mwaka wa 4 wanaosoma sheria- vijana wa kike ni mara 2 ya vijana wa kiume. Yani 100 kwa 50, unaweza kusema labda kwa kuwa wanawake wengi wanapendelea kusoma sharia kuliko wanaume but its irrelevant maana hata kwenye kozi zingine napo ni hivyo hivyo.mwaaka Juzi nilitembelea shule za msingi za Mkoa wa Njombe katika shule zote,hakuna darasa hata 1 ambalo idadi ya wavulana ni kubwa kuliko wasichana.

Kwa uchunguzi mdogo niliofunya nimegundua issue sio kuwa watoto wa kike wana akili kuliko wanaume bali ni kuwa uzazi, watoto wa kike wanazaliwa kwa wingi kuliko wa kiume. Takwimu zinaonesha kati ya watoto 100 wanaozaliwa kwa siku 60 pekee ndio wa kiume, vilevile vifo kwa watoto chini ya miaka 5 watoto wa kiume wanafariki sana kuliko wa kike.

Swali hapa ni kuwa kwa nini kupata watoto wa kiume imekuwa kazi kubwa?na kwa nini watoto wa kiume wanakufa sana wakiwa wadogo kuliko wa kike? Nini kifanyike ndugu sana JF. Naona miaka ijayo wanaume tutafutika kabisa kwenye uso wa Dunia.
Nipe the same data kwa engineering..!!
 
Sio kweli nenda kijijini sanasana huku kanda ya ziwa form 1 huwa wanaandikishwa kwa 50% wasichana na wavulana 50%, wakifika form 2 wasichana 48% na wavulana 52% na ikifika form 4 unakuta wasichana 25% na wavulana 75%
 
Chanjo za ajabu ajabu zimezidi sana.
Inabidi tutafakari upya, sio kila vaccine ina manufaa/lengo kusudiwa kwa wanetu.
Bara giza hili na bado tutaumizwa sana tu...!
 
Back
Top Bottom