Hali si Shwari Ndani ya Azam FC, Wachezaji Hawamtaki Kocha Dabo

Mula ugali sukari. Anaendeleza upuuzi huko. Kazi wanayo wauza asikilim.
 
Azamu wamepata dawa yao Dabo.

Niliisoma katika gazeti la Mwanaspoti kuwa, kocha aliwaambia viongozi kwamba, wachezaji hawajitumi na wamekuwa wakidekezwa. Wachezaji walikuwa wanapewa bonasi kiholela holela. Dabo kaweka masharti ya kupata bonasi tofauti na awali.

Dabo kapewa rungu kama vile kule Ulaya ambapo kocha ni Meneja. Dabo kapewa rungu la kuwadhibiti wachezaji wazembe na wakizingua anawakata dirisha dogo la usajili.

Aliishanza na Bajana kuvuliwa ukapteni.

Ila kama mimi ndio ningekuwa mchezaji wa Azam, ningekuwa najituma kwelikweli mama si nalipwa na kazi yangu ni mpira mana sidhani kama kocha ananipa mazoezi ya kunikomoa bali kuniimarisha.

Tazama Feisal tangu awafunge Tabora UTd wakiwa pungufu, hajafunga tena!
 
Alifunga dhidi ya coastal union na ametotoa assist mbili mechi ya juzi

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…