Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha,hao ndio hawamtaki kocha?azam 3-0 mashujaa 74 min
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha,hao ndio hawamtaki kocha?azam 3-0 mashujaa 74 min
Subiri mechi inayofuata uone madudu yaoWashampiga mtu 3 bila huko
Rubbish.GENTAMYCINE atasema Yanga wamefanya figisu
Hahahaha,wabong bhana
Iite vyovyote, hivi ndivyo unavyowazaga siku zoteRubbish.
Witling.Iite vyovyote, hivi ndivyo unavyowazaga siku zote
Alifunga dhidi ya coastal union na ametotoa assist mbili mechi ya juziAzamu wamepata dawa yao Dabo.
Niliisoma katika gazeti la Mwanaspoti kuwa, kocha aliwaambia viongozi kwamba, wachezaji hawajitumi na wamekuwa wakidekezwa. Wachezaji walikuwa wanapewa bonasi kiholela holela. Dabo kaweka masharti ya kupata bonasi tofauti na awali.
Dabo kapewa rungu kama vile kule Ulaya ambapo kocha ni Meneja. Dabo kapewa rungu la kuwadhibiti wachezaji wazembe na wakizingua anawakata dirisha dogo la usajili.
Aliishanza na Bajana kuvuliwa ukapteni.
Ila kama mimi ndio ningekuwa mchezaji wa Azam, ningekuwa najituma kwelikweli mama si nalipwa na kazi yangu ni mpira mana sidhani kama kocha ananipa mazoezi ya kunikomoa bali kuniimarisha.
Tazama Feisal tangu awafunge Tabora UTd wakiwa pungufu, hajafunga tena!
WACHEZAJI WA AZAM FC HAWAMTAKI KOCHA DABO
Hatimaye Jinamizi la Kumkataa la Makocha kukataliwa na wachezaji wa Azam limeibuka tena na sasa ni kwa kocha Dabo.
Habari za Uhakika ni kwamba safari hii ni zamu ya Yousouph Dabo, Taarifa zinasema kuwa Mkasa wa Dabo ulianza siku ya mazoezi kwanza baada ya mechi ya Yanga, Baada ya kichapo, Dabo aliwakosoa wachezaji wake mazoeziniakiwalaaumu kwa kucheza chini ya kiwango na hawakufuata maelekezo yake.
Akaenda mbali akawaambia wachezaji wasijione wako salama, atamuondoa mchezaji yoyote ambaye hatafuta malekezo yake kwenye disrisha dogo la usajili.
Chanzo chetu kinasema kauli hii iliwakera sana wachezaji, na kuanzia hapo walikubaliana kwamba wafanye wanavyoweza kufanya ili kocha huyo afukuzwe.
Chanzo chetu kinaendelea kutujulisha kwamba kabla ya mchezo wao na Namungo wakati wachezaji wakipasha moto misuli Dabo aliwaambia wachezaji wake kwamba watapoteza mchezo kwasababu hawakuonyesha kama wako tayari kwa mchezo huo.
Na kamaambavyo kila mtu aliona ndivyo hali ilivyokuwa, Azam ililala kwa kipigo cha goli 3-1 huku timu ikicheza kwa ari ya chini sana.
Na kwa taarifa za ndani ni kwamba wachezaji wamepanga kundelea na kumuhujumu Dabo kwenye michezo ijayo hadi afukuzwe, Ikumbukwe Azam leo anacheza na Mashujaa kigoma
Wachezaji wa Azam wanalalamika kwamba Kocha Dobo ni Mkali sana na hataki kusikia ushauri wa yoyote ndani ya timu, Wacheaji wa Azam wamekuwa na Malalamiko kwa kocha huyo muda mrefu sasa.
Hivi baada ya Azam kutolewa kwenye Mashindano ya kimataifa ya Shirikishao CAF, Mchambuzi mmoja wa mmoja wa wawachezaji wa Azam aliandika juu ya hali isivyoshwari kwnye chumba cha kuvalia wachezaji, inaonekana mchambuzi huyo alijulishwa na mchezaji wake mkasa huo.
Hata hivyo taarifa zinatanabaisha kwamba pamoja na msuguano huo wamiliki wa Azam FC wamesema wamechoka kufukuza makocha kila mwaka huku mambo yakishindwa kubadilika, safari hii wameamua kuziba masiko juu ya malalamiko ya wachezaji kama itabidi kufukuzwa basi wafukuzwe wachezaji lakini sio kocha.
Source, vyanzo mbalimbali, Mwanaspoti, Mitandao ya kijamii