WaTz waoga sana. Mafao ya wazee, Koroshow na hili la SGR mpo mpo tu!Msikilize JPM alivyotoa maagizo ambayo Waturuki hawakuyatekeleza. Haya Waturuki wanatuchezea sana sisi Watanzania wanatuona wapole, sasa ngoja waonje joto ya WaTZ. Hivi kweli sisi tungefanya hivi nchini kwao wangekubali unatumia vifaa vya watu miezi yote hiyo karibu mwaka hulipi hata senti.
Mkuu ujue nao wanafamilia huko kwaoWalisaini vipi mradi ambao mchina kakataa kuufanya kwa tril 7, watulipe kiukweli baadhi ya waturuki walikamatwa wanatorosha mamilion airport, hizo fedha wanazotorosha siwangezitumia kulipa subcontractors?.
Mabeberu Hayana Nafasi TanzaniaHao watakuwa wametumwa na beberu
Yaani wanagoma mwaka wa uchaguziMabeberu Hayana Nafasi Tanzania
wewe acha kusema uongo Sub Contractors wamegoma kama unabisha njoo site na mimi nipo site hakuna magari ya kuwapeleka Wafanyakazi kazini na viongozi wa Kituruki wapo kikao sasa hivi.Mimi nipo site na hakuna mgomo wala dalili ya mgomo. Hivi huu umbeaumbea Chadema mtaacha lini
Site Ipi Ulipowewe acha kusema uongo Sub Contractors wamegoma kama unabisha njoo site na mimi nipo site hakuna magari ya kuwapeleka Wafanyakazi kazini na viongozi wa Kituruki wapo kikao sasa hivi.
Pesa ishaingizwa kwenye backup ya uchafuzi wa CCM kipindi Cha kampeni.KWANI TATIZO KAMA RAIS ALISHASEMA WALIPWE INAMAANA PESA IPO KWANINI YAPI HAWALIPI WAKANDARASI?
Acha ujinga upo site ipi?. Haya magari yanayokodishwa gari ipi inafanya kazi?. Watu wameshindwa kwenda site halafu wewe unasema hakuna mgomo.Mimi nipo site na hakuna mgomo wala dalili ya mgomo. Hivi huu umbeaumbea Chadema mtaacha lini
Rais wako si aliingia kichwakichwa kuwaamini..acha mpigwe tu!Walisaini vipi mradi ambao mchina kakataa kuufanya kwa tril 7, watulipe kiukweli baadhi ya waturuki walikamatwa wanatorosha mamilion airport, hizo fedha wanazotorosha siwangezitumia kulipa subcontractors?.
Utakuwa upo Gest bubu wewe..hata jinsi unavyoandika tu Inaonyesha umeshikwa kalio.Mimi nipo site na hakuna mgomo wala dalili ya mgomo. Hivi huu umbeaumbea Chadema mtaacha lini
Na nyinyi mmezidi kuchezewa, mabeberu wawachezee, Kenya wawachezee na Waturuki pia??Msikilize JPM alivyotoa maagizo ambayo Waturuki hawakuyatekeleza. Haya Waturuki wanatuchezea sana sisi Watanzania wanatuona wapole, sasa ngoja waonje joto ya WaTZ. Hivi kweli sisi tungefanya hivi nchini kwao wangekubali unatumia vifaa vya watu miezi yote hiyo karibu mwaka hulipi hata senti.
Mimi nimehudum site zote kuanzia marshalling,ngerengere,soga yenywewe ilala, na hata posta ambapo hawa alperderm ndio wanafanya issue za umeme. Namagari yote ya rent yamegoma kufanya kazi leo,baadhi ya engineers,teachnicians na vibarua wameshindwa kufika site maana hakuna magari yakuwapeleka.Site Ipi Ulipo
Ngosha kashaibgizwa mjini. Hapo zitapigwa dana dana mpaka wanyanganywe tenda wasepe zao huku wameshapiga mpunga.Rais wako si aliingia kichwakichwa kuwaamini..acha mpigwe tu!
Chadema tena?Mimi nipo site na hakuna mgomo wala dalili ya mgomo. Hivi huu umbeaumbea Chadema mtaacha lini
Raisi wanani we jamaa, unafikir kila mtu yuko chama cha mbogamboga.Rais wako si aliingia kichwakichwa kuwaamini..acha mpigwe tu!
Mkuu nahata sisi tunafamilia kiongozi hawa jamaa hamna kitu kabisa heri Serikali iwanyang'anye mradi.Mkuu ujue nao wanafamilia huko kwao
Waulize wakulima wa korosho/wastaafu hua inawachukua muda gani kulipwa pesa zao huku mkuu akiwa amesema mapesa yako mengi tu walipweeeeeeeeee.KWANI TATIZO KAMA RAIS ALISHASEMA WALIPWE INAMAANA PESA IPO KWANINI YAPI HAWALIPI WAKANDARASI?