Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sautii haitoshi kabisaa[emoji16][emoji16][emoji16]watu wametanga mapemaOngeza sauti.
Unadhani Co. Za kimataifa zinatumbuliwa kama anavyotumbuliwa Dc/Rc?Ukisoma uzi hapo kwa umakini utaona tayari JPM alitoa maelekezo watu walipwe madeni yao,nadhani kinachofuatia ni utuambuaji tu.,
A million dollar question.Hao yapi washalipwa hela zao na serikali?
Maana yake nao hawalipwaKWANI TATIZO KAMA RAIS ALISHASEMA WALIPWE INAMAANA PESA IPO KWANINI YAPI HAWALIPI WAKANDARASI?
Hamna kitu hawa, mimi nimefanya kazi nao sana, kila siku wanataka kupunguza mishahara ya P.E and C.E.Kujenga kitu kizuri,wafanyakazi wanakuwa vizuri bora wangewapa Siemens au Alstom .Hawa waarabu na wachina hawafai kabisa.
Umefanya na Siemens au Alstom ?Hamna kitu hawa, mimi nimefanya kazi nao sana, kila siku wanataka kupunguza mishahara ya P.E and C.E.
Ndio!Hao yapi washalipwa hela zao na serikali?
Hali si shwari katika mradi wa SGR unaojengwa na Mkandarasi Yapi Merkez kutoka Uturuki kutokana na mgomo ulioanza leo wa Wakandarasi wa Kitanzania kusimamisha Construction equipments, Tipper, mabasi ya kubeba Wafanyakazi na Pick-Ups kwa ajili ya kubeba Ma enginia kuwapeleka site.
Habari za ndani kutoka katika kikubwa cha Soga ni kwamba kwa sasa kazi zimesimama na viongozi wa Yapi Merkez wamekusanyika kwa ajili ya kikao ili kutafuta suluhu ya jambo hilo.
Hata hivyo Rais Magufuli aliwahi kutoa maelekezo na kuagiza kwamba hao Wakandarasi wa hapa nchini walipwe fedha zao wanazodai kwa muda mrefu, lakini hadi sasa Yapi Merkezi hawajatekeleza agizo hilo la Rais.
Hao watakuwa wametumwa na beberu
Dawa ya deni ni kulipa tu. Jpm lipa pesa za watu
Kiukweli huo mradi umejaa usanii, mradi ilikua ukamilike mwezi wa 2 mwaka huu, Serikali ikawaongezea miezi 6 wakiwa na maana mradi ukamilike mwezi wa nane.Sasa mwezi wa nane ndio huu na mradi hauna dalili za kukamilika, kuna kampuni moja iliwafanyia calibration ya baadhi ya vifaa kufanya malipo imewachukua miezi 8, walivyorudi wafanyiwe calibration tena kampuni ikagoma kuwafanyia.
Sasa walichokuja nacho nikufukuza baadhi ya watu iliowaajiri ili kupunguza matumizi, Zaidi ya robo tatu ya waajiriwa wamefukuzwa, kisha kazi wamepewa subcontractors. Lakini kwa bahati mbaya wameshindwa walipa subcontractors hata robo ya fedha wanazodai kiukweli inaumiza na kusikitisha sana.
Huu mradi Dar-Moro utaisha 2022 ,sasa huko kwingine itachukua zaidi ya miaka 15 kumalizika.
Ukisoma uzi hapo kwa umakini utaona tayari JPM alitoa maelekezo watu walipwe madeni yao,nadhani kinachofuatia ni utuambuaji tu.,
Hata korosho ilikuwa hivyo hivyo. Hapo jpm katajwa tu kumfichia aibu.
Magu hadaiwi kwenye hili we vipi!?😠!
Inaonekana Chadema inakuwashawasha sana.Mimi nipo site na hakuna mgomo wala dalili ya mgomo. Hivi huu umbeaumbea Chadema mtaacha lini
Hapana Madam nazungumzia hawa Yapi Merkez.Umefanya na Siemens au Alstom ?
Labda uko site ya kitandani na Bwana wakoMimi nipo site na hakuna mgomo wala dalili ya mgomo. Hivi huu umbeaumbea Chadema mtaacha lini
Sawa jane lowasaMimi nipo site na hakuna mgomo wala dalili ya mgomo. Hivi huu umbeaumbea Chadema mtaacha lini
Daa sio vizuri ivo mkuuUtakuwa upo Gest bubu wewe..hata jinsi unavyoandika tu Inaonyesha umeshikwa kalio.
...Aisee..Mimi nipo site na hakuna mgomo wala dalili ya mgomo. Hivi huu umbeaumbea Chadema mtaacha lini
Daa sio vizuri mkuuLabda uko site ya kitandani na Bwana wako
Okay ,hapo nimekuelewa.Hapana Madam nazungumzia hawa Yapi Merkez.