Tetesi: Hali si shwari SGR muda huu. Wafanyakazi wanadaiwa kuanzisha mgomo

Tetesi: Hali si shwari SGR muda huu. Wafanyakazi wanadaiwa kuanzisha mgomo

Yatatokea mengi makubwa utawala huu na hawataweza kuyaficha yote.
Hali si shwari katika mradi wa SGR unaojengwa na Mkandarasi Yapi Merkez kutoka Uturuki kutokana na mgomo ulioanza leo wa Wakandarasi wa Kitanzania kusimamisha Construction equipments, Tipper, mabasi ya kubeba Wafanyakazi na Pick-Ups kwa ajili ya kubeba Ma enginia kuwapeleka site.

Habari za ndani kutoka katika kikubwa cha Soga ni kwamba kwa sasa kazi zimesimama na viongozi wa Yapi Merkez wamekusanyika kwa ajili ya kikao ili kutafuta suluhu ya jambo hilo.

Hata hivyo Rais Magufuli aliwahi kutoa maelekezo na kuagiza kwamba hao Wakandarasi wa hapa nchini walipwe fedha zao wanazodai kwa muda mrefu, lakini hadi sasa Yapi Merkezi hawajatekeleza agizo hilo la Rais.
Hao watakuwa wametumwa na beberu
Dawa ya deni ni kulipa tu. Jpm lipa pesa za watu
Kiukweli huo mradi umejaa usanii, mradi ilikua ukamilike mwezi wa 2 mwaka huu, Serikali ikawaongezea miezi 6 wakiwa na maana mradi ukamilike mwezi wa nane.Sasa mwezi wa nane ndio huu na mradi hauna dalili za kukamilika, kuna kampuni moja iliwafanyia calibration ya baadhi ya vifaa kufanya malipo imewachukua miezi 8, walivyorudi wafanyiwe calibration tena kampuni ikagoma kuwafanyia.

Sasa walichokuja nacho nikufukuza baadhi ya watu iliowaajiri ili kupunguza matumizi, Zaidi ya robo tatu ya waajiriwa wamefukuzwa, kisha kazi wamepewa subcontractors. Lakini kwa bahati mbaya wameshindwa walipa subcontractors hata robo ya fedha wanazodai kiukweli inaumiza na kusikitisha sana.

Huu mradi Dar-Moro utaisha 2022 ,sasa huko kwingine itachukua zaidi ya miaka 15 kumalizika.
Ukisoma uzi hapo kwa umakini utaona tayari JPM alitoa maelekezo watu walipwe madeni yao,nadhani kinachofuatia ni utuambuaji tu.,
Hata korosho ilikuwa hivyo hivyo. Hapo jpm katajwa tu kumfichia aibu.
Waturuki msitake kuigombanisha CHADEMA na serikali, maana kila wakati Mambo yanapoharibika lawama hutupiwa CHADEMA na mabeberu 🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐🐐 🐐
Magu hadaiwi kwenye hili we vipi!?😠!
 
Usimwamini sn Magufuli mkuu.... Kelele zake za maagizo za majukwani ni tofauti na vitendo...... Wakandarasi hawlipwi kabisa pesa zao na ndio chanzo cha kushindwa kufanya kazi zao na kulipa wafanyakazi wao.....

Hii ni serikali ya kishetani kabisa
 
Back
Top Bottom