Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Kwa hiyo mlipaji wa malipo ni mtoa maagizo au mpewa maagizo ?Ambao wanatakiwa kulipa malipo hayo.
Kumekucha,.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mlipaji wa malipo ni mtoa maagizo au mpewa maagizo ?Ambao wanatakiwa kulipa malipo hayo.
Za kuambiwa? Changanya na zako.hii ni awamu ya tanoKwa hiyo ni kweli mengine ni kwa ajili ya runinga na magazeti tu ?
Binti,kuwa seriously,watu wanajadili ya maana hapaMimi nipo site na hakuna mgomo wala dalili ya mgomo. Hivi huu umbeaumbea Chadema mtaacha lini
Zile pesa zipo kwa ajili ya kulipia wananchi wanyonge kwenye misafaraSi angefanya tu safari ya kushitukiza akaenda kulipa mwenyewe,mbona anatembeaga na maburutu ya pesa
Ni maagizo vs maigizo.Kwa hiyo mlipaji wa malipo ni mtoa maagizo au mpewa maagizo ?
Kumekucha,.
Atakua anauza nyama yakeUnauza nini hapo site?