Tetesi: Hali si shwari SGR muda huu. Wafanyakazi wanadaiwa kuanzisha mgomo

Tetesi: Hali si shwari SGR muda huu. Wafanyakazi wanadaiwa kuanzisha mgomo

Hali si shwari katika mradi wa SGR unaojengwa na Mkandarasi Yapi Merkez kutoka Uturuki kutokana na mgomo ulioanza leo wa Wakandarasi wa Kitanzania kusimamisha Construction equipments, Tipper, mabasi ya kubeba Wafanyakazi na Pick-Ups kwa ajili ya kubeba Ma enginia kuwapeleka site.

Habari za ndani kutoka katika kikubwa cha Soga ni kwamba kwa sasa kazi zimesimama na viongozi wa Yapi Merkez wamekusanyika kwa ajili ya kikao ili kutafuta suluhu ya jambo hilo.

Hata hivyo Rais Magufuli aliwahi kutoa maelekezo na kuagiza kwamba hao Wakandarasi wa hapa nchini walipwe fedha zao wanazodai kwa muda mrefu, lakini hadi sasa Yapi Merkezi hawajatekeleza agizo hilo la Rais.
Mkuu huo unaweza kuwa si mgomo bali ni haki ya Mkandarasi kuacha kazi.
Hapo ni kama malipo yamechelewa Mkandarasi anaweza kufikia hata kujiondoa kwenye kazi .

CONDITIONS OF CONTRACT CLAUSE 63.1(b)
" If the Contractor has not received sums due to it within 28 days for payment payment provided for in Sub -Clause 43.1, the Contractor may immediately issue a 14-days , termination notice."


Tukumbuke kuwa hii extract ya Conditions of Contract ni standard ocument ya seikali.
Hivyo wakandarasi hao hawajagoma, wanatekeleza mkataba kama ulivyoandikwa.
 
Hivi beberu ana tabia Zipi special zilizofanya hasa afanNishwe na nchi za magharibi!
 
Mkuu nahata sisi tunafamilia kiongozi hawa jamaa hamna kitu kabisa heri Serikali iwanyang'anye mradi.
Mkuu hao ndo wanaweza kujenga reli hiyo kwa bei rahisi na substandard,wachina wanazingatia viwango na hivyo bei yao iko juu,Sasa wakinyanganywa hiyo tenda nani atajenga reli na ujiko wa kujenga sgr tutaupata wapi? Kuweni wazalendo msitumike na mabeberu.SGR Kwanza kula na uhai wenu baadae
 
Mkuu hao ndo wanaweza kujenga reli hiyo kwa bei rahisi na substandard,wachina wanazingatia viwango na hivyo bei yao iko juu,Sasa wakinyanganywa hiyo tenda nani atajenga reli na ujiko wa kujenga sgr tutaupata wapi? Kuweni wazalendo msitumike na mabeberu.SGR Kwanza kula na uhai wenu baadae
Hapo mwisho umemalizia vizuri mkuu.
 
Kiukweli huo mradi umejaa usanii, mradi ilikua ukamilike mwezi wa 2 mwaka huu, Serikali ikawaongezea miezi 6 wakiwa na maana mradi ukamilike mwezi wa nane.Sasa mwezi wa nane ndio huu na mradi hauna dalili za kukamilika, kuna kampuni moja iliwafanyia calibration ya baadhi ya vifaa kufanya malipo imewachukua miezi 8, walivyorudi wafanyiwe calibration tena kampuni ikagoma kuwafanyia.

Sasa walichokuja nacho nikufukuza baadhi ya watu iliowaajiri ili kupunguza matumizi, Zaidi ya robo tatu ya waajiriwa wamefukuzwa, kisha kazi wamepewa subcontractors. Lakini kwa bahati mbaya wameshindwa walipa subcontractors hata robo ya fedha wanazodai kiukweli inaumiza na kusikitisha sana.

Huu mradi Dar-Moro utaisha 2022 ,sasa huko kwingine itachukua zaidi ya miaka 15 kumalizika.
Tatizo ni kwa serikali, kushindwa kuwalipa pesa mapema!! Wao wafanye nini??
 
Ukisoma uzi hapo kwa umakini utaona tayari JPM alitoa maelekezo watu walipwe madeni yao,nadhani kinachofuatia ni utuambuaji tu.,
Mkuu maelekezo hayajawahi kuwa pesa,ametoa maelekezo na maagizo mangapi kwenye korosho,je watu wamelipwa pesa zao?
 
Back
Top Bottom