Hali tete daraja la Tanzanite. Nashauri hili lifanyike

Hali tete daraja la Tanzanite. Nashauri hili lifanyike

Usiwe na hofu. Hizo kitaalam zinaitwa expansion joints. Kama zile zilizotokea kwenye hosteli za Magufuli. Nadhani unakumbuka kilichomtokea yule dogo aliyepiga picha na kuzisambaza. ...

Una bahati hivi sasa mama anaupiga mwingi... Tungekuokota coco beach kwenye kiroba....
Aliyetakiwa kusifiwa alipopuuzwa na kuumizwa.
 
Sasa dogo mbona umeweka mapicha ya madaraja ya nchi nyingine?.

Alafu kutembea kwako kwa miguu umeshindwa kuoiga picha sehemu zenye nyufa tuone.

Sasa kwa umbea huu angekuwepo jeshi la mtu mmoja ile adhabu ingekufaa kabisa asee!.
Anayeweza kuniadhibu ni Mungu pekee.
Am a law abiding citizen. Sheria za nchi yetu huwa hazitoi adhabu kwa law abiding citizens.
 
Kn kitu nimewaza juu ya mleta mada lengo la mada yake hii

Watu wa usalama watazame hili kwa jicho lingine
 
Umetumia play store kuna apps mpaka kupima seismic waves 😀😀😀
 
Sasa dogo mbona umeweka mapicha ya madaraja ya nchi nyingine?.

Alafu kutembea kwako kwa miguu umeshindwa kuoiga picha sehemu zenye nyufa tuone.

Sasa kwa umbea huu angekuwepo jeshi la mtu mmoja ile adhabu ingekufaa kabisa asee!.
Na mi nimeshangaa. Yaani katupia madaraja ya nchi nyingine. Madogo wengine bwana.
 
Sasa dogo mbona umeweka mapicha ya madaraja ya nchi nyingine?.

Alafu kutembea kwako kwa miguu umeshindwa kuoiga picha sehemu zenye nyufa tuone.

Sasa kwa umbea huu angekuwepo jeshi la mtu mmoja ile adhabu ingekufaa kabisa asee!.
watu kama hawa wanafirwaga kwanza ndo wanakutwa kwenye viroba koko
 
Wee jamaa hii taarifa sii ya kweli, mtu umepita juu ya daraja halafu picha za mvunguni mwa daraja wapi na wapi.Halafu pale pana ulinzi 24/7 saa hizi usingekuwa hapa kupost hii kitu.
 
Wajapan ndo wamejenga, wanajua kuliko wewe
 
Hadi sasa hakuna picha inayoonesha ufa...
 
Kuna jamaa Fulani ushawaudhi!!

Washaanza kukutafuta. [emoji1]
 
Siko nyonyo, niko fiti... Usiwe na hofu juu ya maisha yangu. Mimi kitakachoniua ni uzee tu...
Unaposema "siko nyonyo, niko fiti" unamaanisha nini?

Halafu uache upotoshaji! Hakuna nyufa hapo. Hivyo uache kutengeneza taharuki zisizo na kichwa wala miguu.
 
Back
Top Bottom