Hali tete daraja la Tanzanite. Nashauri hili lifanyike

Hali tete daraja la Tanzanite. Nashauri hili lifanyike

Mleta uzi muoga balaa! Ameshindwa kupiga picha nyufa huku akitembea!

Kwani kwenye hilo daraja hairuhusiwi kupiga picha?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nyufa zipo kwenye masaburi yako??
 
Wabongo bwn
Pale Selander kuna seismic activity ipi?..

Mitetemo ya hali juu kwa mujibu wa kipimo kipi ulichopima? Richter ngapi?
Hivi unajua ulichoandika?
 
Wakuu, juzi kati nilipita kwa mguu kwenye daraja la Tanzanite.

Nilishtuka sana kuona kuwa daraja lina nyufa kila sehemu.

Sikuamini kama ningeweza kuvuka salama kabla daraja halijatumbukia.

Baada ya kufanya utafiti wa kina nilionelea kuwa lile daraja limejengwa eneo lenye sesmic waves (mitetemo) ya hali ya juu kitu ambacho kina athiri daraja na kulipunguzia urefu wa maisha.

Nawashauri Tanroads kuchukua hatua za haraka kwa kulifunga dampers daraja la Tanzanite ili kupunguza mitetemo ambayo inaathiri daraja hilo kwa kasi ya mwanga.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.

View attachment 2382330View attachment 2382329View attachment 2382335

Hizi ni Picha za Ku download hazina relation na Maelezo ya maada hii bila shaka
 
Back
Top Bottom