Aliyetakiwa kusifiwa alipopuuzwa na kuumizwa.Usiwe na hofu. Hizo kitaalam zinaitwa expansion joints. Kama zile zilizotokea kwenye hosteli za Magufuli. Nadhani unakumbuka kilichomtokea yule dogo aliyepiga picha na kuzisambaza. ...
Una bahati hivi sasa mama anaupiga mwingi... Tungekuokota coco beach kwenye kiroba....
Nenda CCBRT ukapimwe miwani...Sioni nyufa mbona
Starabika jamaa yangu, kwani huwezi respond bila kutamka matusi....Jifunze kuheshimu wengine hata kwa kukaa kimya!!!hizo nyufa labda zipo matakoni mwako
Anayeweza kuniadhibu ni Mungu pekee.Sasa dogo mbona umeweka mapicha ya madaraja ya nchi nyingine?.
Alafu kutembea kwako kwa miguu umeshindwa kuoiga picha sehemu zenye nyufa tuone.
Sasa kwa umbea huu angekuwepo jeshi la mtu mmoja ile adhabu ingekufaa kabisa asee!.
Sijaumbwa kufanya kila kitu Duniani...Umeshindwa ata kutengeneza mkaa safi na salama unatoa ushauri wa daraja
NipelekeNenda CCBRT ukapimwe miwani...
Hizo ni expansion joints. Uwe na amani [emoji1787]
Na mi nimeshangaa. Yaani katupia madaraja ya nchi nyingine. Madogo wengine bwana.Sasa dogo mbona umeweka mapicha ya madaraja ya nchi nyingine?.
Alafu kutembea kwako kwa miguu umeshindwa kuoiga picha sehemu zenye nyufa tuone.
Sasa kwa umbea huu angekuwepo jeshi la mtu mmoja ile adhabu ingekufaa kabisa asee!.
watu kama hawa wanafirwaga kwanza ndo wanakutwa kwenye viroba kokoSasa dogo mbona umeweka mapicha ya madaraja ya nchi nyingine?.
Alafu kutembea kwako kwa miguu umeshindwa kuoiga picha sehemu zenye nyufa tuone.
Sasa kwa umbea huu angekuwepo jeshi la mtu mmoja ile adhabu ingekufaa kabisa asee!.
ukionaje kaa kimya ww basStarabika jamaa yangu, kwani huwezi respond bila kutamka matusi....Jifunze kuheshimu wengine hata kwa kukaa kimya!!!
Nimeweka hizo picha kuonesha madaraja yaliyofungwa DAMPERS!Na mi nimeshangaa. Yaani katupia madaraja ya nchi nyingine. Madogo wengine bwana.
Unaposema "siko nyonyo, niko fiti" unamaanisha nini?Siko nyonyo, niko fiti... Usiwe na hofu juu ya maisha yangu. Mimi kitakachoniua ni uzee tu...