Mkuu kuna watu akili zao zipo matakoni . wao akifa mzungu wanaumia sana japo wao ni wasambaa.bure kabsaIsrael inashambulia makaazi ya raia kule Palestina,mlikutana mataifa 50?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anazungumzia Putin wa bonyokwaUnamsema putini yupi.....au wa malawi
Huna akili. Unajua hao wazibuliwa mitaro hicho ni kikao Cha ngapi wamekaa. Kwani ndiyo watakuwa wameanza kutoa hizo silaha.
Mtaacha lini kutumia Masaburi kwenye kufanya mambo yenu ndegelec nyie!
We unadhan Ukraine angekua mwenyewe kwenye hiyo vita angetoboa hadi leo? US,FRANCE wanahusika hapo kutoa sapotiKaa utulie. Hadi vita itaisha huta sikia USA, GERMANY, FRANCE au UK ame rusha kombora Russia. Why? Wana ujua vzr mziki wa Putin. Ukirusha, hata ukiwa Ukraine, yeye ana rusha Direct nyumbani kwako huko huko....iwe Pentagon, Washington, London, uta jijua huko.
Hivi kwanini unaidanganya nafsi yako wakat ukweli wote nafsi yako inajua,au unalipwa?Zaidi ya mataifa 50 ya ulaya yamekutana nchini Ujerumani kujadili namna ya kuipa silaha na kuhakikisha Ukraine anashinda kwenye uvamizi wa dictetor Putin.
Wote wameanzimia kutoa michango ya silaha, fedha, mafunzo, madawa, silaha za kujilinda na makombora.
Hii ni baada ya dicteta Putin kushambulia miji yenye makazi ya watu na kifanya mauaji. Putin akitoboa mwaka huu mtanambia
=====
View attachment 2385387
More than 50 Western countries have met in Brussels to pledge more weapons for Ukraine, especially air defence systems, after Russia launched its most intense missile barrage since the war began.
At Wednesday’s meeting of the Ukraine Defense Contact Group, US Secretary of Defense Lloyd Austin said Russia’s latest attacks had laid bare its “malice and cruelty” since invading Ukraine on February 24.
Uchumi wa nchi za ulaya uko hoi, viwanda vinafungwa. Uingereza ndio kabisa uchumi wake uko kwenye hatari ya kuanguka.Zaidi ya mataifa 50 ya ulaya yamekutana nchini Ujerumani kujadili namna ya kuipa silaha na kuhakikisha Ukraine anashinda kwenye uvamizi wa dictetor Putin.
Wote wameanzimia kutoa michango ya silaha, fedha, mafunzo, madawa, silaha za kujilinda na makombora.
Hii ni baada ya dicteta Putin kushambulia miji yenye makazi ya watu na kifanya mauaji. Putin akitoboa mwaka huu mtanambia
=====
View attachment 2385387
More than 50 Western countries have met in Brussels to pledge more weapons for Ukraine, especially air defence systems, after Russia launched its most intense missile barrage since the war began.
At Wednesday’s meeting of the Ukraine Defense Contact Group, US Secretary of Defense Lloyd Austin said Russia’s latest attacks had laid bare its “malice and cruelty” since invading Ukraine on February 24.
Labda atashinda njaa,naona mmeibuka kutoka mafichoni.Putin atashinda toka lini UN ikawa inafata haki zaidi ya kuwa sehemu ya kuhalalisha matakwa ya US na Western.
Hawa vijana bhange zinawatesa[emoji23][emoji23]Anazungumzia Putin wa bonyokwa
Utabakwa wwAtabakwa hadharani
putin kawa dikteta ln tenaZaidi ya mataifa 50 ya ulaya yamekutana nchini Ujerumani kujadili namna ya kuipa silaha na kuhakikisha Ukraine anashinda kwenye uvamizi wa dictetor Putin.
Wote wameanzimia kutoa michango ya silaha, fedha, mafunzo, madawa, silaha za kujilinda na makombora.
Hii ni baada ya dicteta Putin kushambulia miji yenye makazi ya watu na kifanya mauaji. Putin akitoboa mwaka huu mtanambia
=====
View attachment 2385387
More than 50 Western countries have met in Brussels to pledge more weapons for Ukraine, especially air defence systems, after Russia launched its most intense missile barrage since the war began.
At Wednesday’s meeting of the Ukraine Defense Contact Group, US Secretary of Defense Lloyd Austin said Russia’s latest attacks had laid bare its “malice and cruelty” since invading Ukraine on February 24.
Putin must die for GodZaidi ya mataifa 50 ya ulaya yamekutana nchini Ujerumani kujadili namna ya kuipa silaha na kuhakikisha Ukraine anashinda kwenye uvamizi wa dictetor Putin.
Wote wameanzimia kutoa michango ya silaha, fedha, mafunzo, madawa, silaha za kujilinda na makombora.
Hii ni baada ya dicteta Putin kushambulia miji yenye makazi ya watu na kifanya mauaji. Putin akitoboa mwaka huu mtanambia
=====
View attachment 2385387
More than 50 Western countries have met in Brussels to pledge more weapons for Ukraine, especially air defence systems, after Russia launched its most intense missile barrage since the war began.
At Wednesday’s meeting of the Ukraine Defense Contact Group, US Secretary of Defense Lloyd Austin said Russia’s latest attacks had laid bare its “malice and cruelty” since invading Ukraine on February 24.