Hali tete kwa Vladmir Putin, sasa ni dunia inataka kumtandika

Kaa utulie. Hadi vita itaisha huta sikia USA, GERMANY, FRANCE au UK ame rusha kombora Russia. Why? Wana ujua vzr mziki wa Putin. Ukirusha, hata ukiwa Ukraine, yeye ana rusha Direct nyumbani kwako huko huko....iwe Pentagon, Washington, London, uta jijua huko.
 
Huna akili. Unajua hao wazibuliwa mitaro hicho ni kikao Cha ngapi wamekaa. Kwani ndiyo watakuwa wameanza kutoa hizo silaha.
Mtaacha lini kutumia Masaburi kwenye kufanya mambo yenu ndegelec nyie!

Mwingine angeandika:

"Hichi sio kikao cha kwanza kukaa, wameshakaa vikao vingi na hakuna la maana walilofanya na silaha wameshatoa sana".

Na ujumbe ungefika na tungeuelewa.
 
We unadhan Ukraine angekua mwenyewe kwenye hiyo vita angetoboa hadi leo? US,FRANCE wanahusika hapo kutoa sapoti
 
Na wamesema akituma nuke, watamvamia
 
Hivi kwanini unaidanganya nafsi yako wakat ukweli wote nafsi yako inajua,au unalipwa?
 
Kuivamia nchi huru bila sababu sio haki kabisa mwaka 2014 aliimega Crimea si angebaki na hiyo pekee lakini tamaa yake ndio itasababisha mpaka Crimea kurudi kwa wenye nayo.
 
Uchumi wa nchi za ulaya uko hoi, viwanda vinafungwa. Uingereza ndio kabisa uchumi wake uko kwenye hatari ya kuanguka.
Juzi IMF wamesema ikifika 2023 hali itakuwa mbaya kabisa dunia nzima.
Ni hatari bin balaa.
 
Israel inaua kila siku hata watoto mbona hawakusanyiki makafir hao...
Congo kila siku watu wanakufa kwa vita wanayoifadhili mbona hamsemi.????
ethiopia..Somalia Djibout ..Kenya watu wanakufa njaa au hao sio watoto mbona wasitoe japo robo kuleta mahindi huko...Acheni Unafiki nyie watu bana...
 
putin kawa dikteta ln tena
 
Putin must die for God
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…