Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Duh! HongeraKuachwa siwez achwa sana sana nazidi kupewa upendo wa kweli sio wa kwenu nyie wanaba pua mnaotaka mjaribu kila uchafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! HongeraKuachwa siwez achwa sana sana nazidi kupewa upendo wa kweli sio wa kwenu nyie wanaba pua mnaotaka mjaribu kila uchafu
Duh ndo tubinti twa siky hizi hutuYani hata lingekua linakuaje siwez ww kalale kweny kitanda Cha mama sie tupo tunatafuta pesa
Ulianza ww kijana mjuaji😊Duh ndo tubinti twa siky hizi hutu
AminaDuh! Hongera
Mkuu this time around Crimea inarudi Ukraine..kupiga majengo ya RAIA na kuua inaonyesha umeshindwa vita katika uwanja wa mapambano...Putin atakuwa atapata aibu kubwa.Kiujumla kashindwa hii gemu na myahudi Zelensky.Nilifikiri majeshi ya nchi zao yameshaizunguka Russia tayari kwa mashambulizi, kumbe unazungumzia matamko hayo yapo tangu anaitwanga Georgia, tangu anaichukua Crimea n.k.
Labda tungoje safari hii pengine ikawa tofauti!
Hata Putin ni Myahudi! Ulaya mashariki karibu nchi zote ni wana wa Ibrahimu, ni ndugu.Mkuu this time around Crimea inarudi Ukraine..kupiga majengo ya RAIA na kuua inaonyesha umeshindwa vita katika uwanja wa mapambano...Putin atakuwa atapata aibu kubwa.Kiujumla kashindwa hii gemu na myahudi Zelensky.
Tulia msumar uwaingie utosiniDunia inamdunda Putin lini na ngumi zitaonyeshwa tv gani hapa bongo?
Utasubiri sana, Putin sio Sadam HusseinTulia msumar uwaingie utosini
Michango bora kabisa ndani ya Mada ya vita ya Urusi na UkraineTulifyatue. Usikute likawa linapwita miksa kujamba jamba likiingiziwa ****, weweee
Na huo ndo ukweli mchungu wataishia kuimba taarabu na propaganda hawana kitu cha mkumfanya.UN haina meno,
Kutwa kucha ni vikao TU vya kumchamba Putin na hamna lolote wanaweza kumfanya haoView attachment 2385480
Hiyo ni misaada ya kibinadamu sio misaada ya silaha hiyo kila MTU anaweza kutoa.Saudi leader pledges $400 million in humanitarian aid for Ukraine and offers mediation
Saudi Arabia’s Crown Prince Mohammed bin Salman called Ukraine’s President Volodymyr Zelensky on Friday to pledge $400 million in humanitarian aid to “alleviate the suffering of Ukrainian citizens in the wake of the crisis,” according to the state-run Saudi Press Agency.
The crown prince also said that Saudi Arabia’s position was to support “de-escalation” and that the kingdom stood ready to “continue efforts of mediation,” between Ukraine and Russia, the state news agency said.
Cnn