Hali tete kwa Vladmir Putin, sasa ni dunia inataka kumtandika

Hali tete kwa Vladmir Putin, sasa ni dunia inataka kumtandika

Israel inaua kila siku hata watoto mbona hawakusanyiki makafir hao...
Congo kila siku watu wanakufa kwa vita wanayoifadhili mbona hamsemi.????
ethiopia..Somalia Djibout ..Kenya watu wanakufa njaa au hao sio watoto mbona wasitoe japo robo kuleta mahindi huko...Acheni Unafiki nyie watu bana...
Huku Afrika nyinyi waislam mna wajibu wa kuwasaidia.Unataka chakula na misaada ya kafri tena ikusaidieni.
 
Na wamesema akituma nuke, watamvamia
IMG_20221013_173555.jpg
IMG_20221013_173623.jpg
 
Putin ndo Mwanaume lijali Bora wa Karne ya 21.
Wanawake 50 na zaidi wamekua wakikaa mara kwa mara kumjadili bwana huyo jinsi anavyowatia. Kisago kinapozidi kuwaingia Wanampa bichwa bimdogo(Ukraine) azidishe miuno na kumpa ukungwi ili akatike kiuno kiteguke[emoji23].

Wale mbwa wanamlamba kisogo Ukrain ila wanaenjoy Rungu linavyotembezwa.

Kama kuna Black man atawah kuisupport UN na US basi huyo ni Eskariote dhahili na hafai kua hata Barozi wa nyumba 10.
 
Mataifa yote ya ulaya ukiunganisha yahafikii ukubwa wa eneo la Urusi. Ni suala la muda tu..viongozi waliopo watanyofolewa soon, tayari Italy imeanza, aliyekuwepo alikuwa mrembo wa Us aliyeshinda now ni mrengo wa Urusi
 
U.N wamemtolea nje maanake baraka za kumtwanga zimeachiwa
Hakuna mwehu anayeweza kumsogelea Putin, viongozi wote wa ulaya wa sasa ni vibaraka wa Us, wakiongozwa na Macaroni, wote wamekalia kuti kavu, watanyofolewa soon coz raia wamewachoka. Biden mwenyewe anapumulia mashine soon
 
Zaidi ya mataifa 50 ya ulaya yamekutana nchini Ujerumani kujadili namna ya kuipa silaha na kuhakikisha Ukraine anashinda kwenye uvamizi wa dictetor Putin.

Wote wameanzimia kutoa michango ya silaha, fedha, mafunzo, madawa, silaha za kujilinda na makombora.

Hii ni baada ya dicteta Putin kushambulia miji yenye makazi ya watu na kifanya mauaji. Putin akitoboa mwaka huu mtanambia

=====

View attachment 2385387

More than 50 Western countries have met in Brussels to pledge more weapons for Ukraine, especially air defence systems, after Russia launched its most intense missile barrage since the war began.

At Wednesday’s meeting of the Ukraine Defense Contact Group, US Secretary of Defense Lloyd Austin said Russia’s latest attacks had laid bare its “malice and cruelty” since invading Ukraine on February 24.
Unamvungumzia Putin wa ccm
 
Aina hii ya vijana, wanamchango mdogo sana kwa taifa....

Putin who?? Atakua Putin wa Kwamfuga mbwa
 
Dahh wamenikumbusha yule mkenya aliojipendekeza umoja wa mataifa ety kulaani urusi akajibiwa na urusi hiyo issue haiwezi ni kama anatikisa mbuyu akidhani unatikisika kumbe ni matako yake ndo yanatikisika 50 country wamekutana dhidi ya taifa moja kiukwel tulikuwa tunaichukulia urusi kawaida ifike mahari salute zipigwe kila pembe ya Tanzania zimfikie putin
 
Hizi story za vijiwe vya kahawa bana! Hizo silaha zinazopiga nakukomboa miji ambayo Russia amesema ni sehemu ya ardhi yake zinatoka Marekani na Western.

Putin alisema atakayeshabulia mikoa ambayo imenyakuliwa rasmi na Russia atakuwa ameishambulia ardhi ya Russia.

HIMARS za Marekani ndizo zinazotumika kushambuliwa maeneo yaliyotwaliwa na Russia kila siku na hivi leo Ukraine amekomboa eneo lililokuwa sehemu ya Russia huko kusini.

Mbona Russia harushi hayo makombora huko Washington ambapo ndo makombora ya HIMARS yanapotokea.
Endelea kuji fariji na vi story vyako vya kijiweni. Moja ya sharti la USA kutoa HIMMARS kama msaada Ukraine ni kuto tumia HIMMARS kushambulia Ardhi yoyote ya Urusi! Una dhani kwa nn hilo sharti? Wana jua fika. Bomu liki tua Russia mna chapika wote. Daraja moja tu la Cremea lime lipuliwa ki gaidi kwa mitego ya malori siyo HIMMARS. Ukraine ime chapwa nchi nzima. Afu uwe una acha uongo wa kitoto. Maeneo 4 yame rasishwa juzi tu. Hakuna shambulio la HIMMARS ktk maeneo hayo hadi leo. Pia US Secretary of Denfense Austin ame zuia upelekeaji wa HIMMARS 18 zilizo salia Ukraine. Upuguza uongo na vi story vya BBC.
 
Dahh wamenikumbusha yule mkenya aliojipendekeza umoja wa mataifa ety kulaani urusi akajibiwa na urusi hiyo issue haiwezi ni kama anatikisa mbuyu akidhani unatikisika kumbe ni matako yake ndo yanatikisika 50 country wamekutana dhidi ya taifa moja kiukwel tulikuwa tunaichukulia urusi kawaida ifike mahari salute zipigwe kila pembe ya Tanzania zimfikie putin
Urusi hayupo Peke yake, kwa sasa anapambana kufanya ulimwengu ujue uhuni wa westerners.
Angalia hiyo group photo ya CICA submit 2022. Hayo ni mataifa ambayo kwa sasa yameshajitambua na yana rasilimali nyingi

6347a78e288f36347a78e288f416656403336347a78e288f06347a78e288f1.jpg
 
Back
Top Bottom