NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Mbona Israel anayachukua maeneo ya palestna???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe bakia na wanachuku chako mapema huyo mwache na taifa lake na watu wake,huku akiendelea kuwanyooshea vichwa mbovu wote wa ulaya na Amerika 🥱Walinyanyaswa lini upuuzi mtupu amekabidhiwa taifa zuri analeta mauaji
USSR
Mengine haya yanahitaji tafakari, hivyo tulia piga gilasi ya maji kwanza utulie utarejea humu baadaye kidogoduh hv mnatumia akil au kario kufikir , kakutana au kautafuta mwenyew ubaya , yaan anautumia vibaya ukubwa wake halaf anataka watu wake kimya wamwache anavyoonea watoto kisa yeye mkubwa
kwani aliye mvamia mwenzie nani?Sema atakufa shujaa kwa taifa lake kwani ameukataa udhalimu wa mabeberu ameamua kusimama na taifa lake na watu wake hata wale walionjee ya taifa lake wanaonyanyasika na mabeberu 🏃🏃
Nchi yao wanahaki yakufanya wanayoyapenda wao hayo nyie wala hayawahusu muwaachi hao wenyewe namambo yaoduh una tumia kalio au ubongo kufikir , Ukraine nchi inaendeshwa kidemokrasia sio kama Urusi nchi wqmebadilishana urais wahuni wawili tu tangu 1994 na mfumo huo ndo alitaka kuusambaza dunia kaanzia Syria , Venezuela , Beralus , Kazaskan , Serbia , Hungary , China , N.Korea etc wanafuata nyayo za Utawala wa kimabavu wa Urusi
Yamelenga kwa 80% maeneo yamafunzo ya MAGAIDImkuu kobaz huwa zinawaaribu akili nahis , au kwenu hakuna hata network ya 3G ? sijaona bomu hata moja limelenga kambi ya kijeshi huko kiev kwq mabomu yale yote 84 badala yake tunayaona barabarani na kwenye nyumba za watu viwanja wa michezo mashule ya wanafunz nk
Alokwambia kama usipovamia kabla nawe hutavamiwa nanikwani aliye mvamia mwenzie nani?
Ukreine toka iwepo dunia kamvamia nani?
si na hao Waarabu waregeshe Nchi zetu za Afrika waliochukua mateka na kuua kwa ukamilifu!!!!Mbona Israel anayachukua maeneo ya palestna???
Sasa waambie UN sasasi na hao Waarabu waregeshe Nchi zetu za Afrika waliochukua mateka na kuua kwa ukamilifu!!!!
Western Sahara,Morroco,Tunisia,Libya,Egypt,!!!
Zengine ni
Somalia,Sudan,Algeria,Chad,nkt!!
🍆🍆🍆Takbir😜Sasa waambie UN sasa
Huna histori na uwezo wa USA. Ila kukumbusha tu USA aliona hii vita miaka 50 back. Just think about that na sio kuona alijiandaa. EndSafari hii mambo yatakuwa tofauti kidogo, ikiwa NATO watajitia kuishambulia Urusi kijeshi watajuta kweli kweli sio utani.
Taifa la kwanza ambalo litashambuliwa with overwheling power/force at their disposal ni Amerika kasikazini yenyewe - itachakazwa vilivyo ndani ya aridhi ya taifa lao kwa mara ya kwanza tangu lipate uhuru kutoka kwenye utawala wa Uingereza - si utani, Warusi uwezo huo wanao sana sana, msidanganyike kirahisi na mbwembwe na majigambo ya Biden na wapambe wake, vinchi vidogo vifogo vya NATO na kiranja wao mkuu hawawezi kumfanya lolote Putin kama bado wanajipenda,, sisemi Urusi haita adhilika kwa vita, la hasha watapata hasara lakini Amerika ndio ita adhilika zaidi kutokana na Uchina,Korea Kaskazini,Iran,Syria na wengine kushirikiana na Russia kukomesha ujeuri na kiburi cha USA, watashirikiana na Urusi kwa sababu wanajua wakimwachia Merikani hivi hivi uwezi juwa kesho atamvia nani - kwa hiyo time ya deal na ujeuri/viburi vya Merikani is now,now not later.
Nakumbusha kwa mara nyingine tena kwamba Urusi haipo peke yake katika harakati zake za kupambana ukoloni mambo leo unao kuwa preached na Anglo-Saxon gang, mfano siasa za kishetani zinazo hubiri: Unipolar World, so called New World Order, World hegemony and all vices you can imagine - Dunia imekwisha choshwa kusikiliza na kulazimishwa kufuata mahubiri na nyenendo za Lucifer, Duniani inacho taka ni amani ya kudumu,basi na sio mambo ya kuchochea mataifa ili yasielewane na kupenda penda vita kwa ajili ya kunufaisha viwanda vya silaha big time.
Rain bow woyeeeeeee🍆🍆🍆Takbir😜
Ndugu yangu Mawatu mengine ni mazuzu utahangaika bure tu humu kupigizana nayo kelele ilihali hayatakuelewa, isitoshe yanaweza kuwa yanalipwa kusambaza propaganda humu JF [emoji16]Hivi kule Libya 2011 Ghadaff alikuwa amevamia nchi gani vile ?
Halafu vipi kule Palestina,wapalestina wamevamia nchi gani vile ?
Wanawapa silaha za kuifukuza Russia (defensive weapons) na sio za kupiga ndani ya Russia (offensive weapons)We unadhan Ukraine angekua mwenyewe kwenye hiyo vita angetoboa hadi leo? US,FRANCE wanahusika hapo kutoa sapoti
Akikujibu Hilo swali nishtueIsrael inashambulia makaazi ya raia kule Palestina,mlikutana mataifa 50?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nafira tuNtabakwa na ww si ndio?!
usinilipuwe pliz 🚮Rain bow woyeeeeeee
Mkuu unajua kutoa somo kikubwa,sina uhakika kama amekuelewa.Mwingine angeandika:
"Hichi sio kikao cha kwanza kukaa, wameshakaa vikao vingi na hakuna la maana walilofanya na silaha wameshatoa sana".
Na ujumbe ungefika na tungeuelewa.