Hali tete kwa Vladmir Putin, sasa ni dunia inataka kumtandika

Hali tete kwa Vladmir Putin, sasa ni dunia inataka kumtandika

Nilifikiri majeshi ya nchi zao yameshaizunguka Russia tayari kwa mashambulizi, kumbe unazungumzia matamko hayo yapo tangu anaitwanga Georgia, tangu anaichukua Crimea n.k.

Labda tungoje safari hii pengine ikawa tofauti!

Safari hii mambo yatakuwa tofauti kidogo, ikiwa NATO watajitia kuishambulia Urusi kijeshi watajuta kweli kweli sio utani.

Taifa la kwanza ambalo litashambuliwa with overwheling power/force at their disposal ni Amerika kasikazini yenyewe - itachakazwa vilivyo ndani ya aridhi ya taifa lao kwa mara ya kwanza tangu lipate uhuru kutoka kwenye utawala wa Uingereza - si utani, Warusi uwezo huo wanao sana sana, msidanganyike kirahisi na mbwembwe na majigambo ya Biden na wapambe wake, vinchi vidogo vifogo vya NATO na kiranja wao mkuu hawawezi kumfanya lolote Putin kama bado wanajipenda,, sisemi Urusi haita adhilika kwa vita, la hasha watapata hasara lakini Amerika ndio ita adhilika zaidi kutokana na Uchina,Korea Kaskazini,Iran,Syria na wengine kushirikiana na Russia kukomesha ujeuri na kiburi cha USA, watashirikiana na Urusi kwa sababu wanajua wakimwachia Merikani hivi hivi uwezi juwa kesho atamvia nani - kwa hiyo time ya deal na ujeuri/viburi vya Merikani is now,now not later.

Nakumbusha kwa mara nyingine tena kwamba Urusi haipo peke yake katika harakati zake za kupambana ukoloni mambo leo unao kuwa preached na Anglo-Saxon gang, mfano siasa za kishetani zinazo hubiri: Unipolar World, so called New World Order, World hegemony and all vices you can imagine - Dunia imekwisha choshwa kusikiliza na kulazimishwa kufuata mahubiri na nyenendo za Lucifer, Duniani inacho taka ni amani ya kudumu,basi na sio mambo ya kuchochea mataifa ili yasielewane na kupenda penda vita kwa ajili ya kunufaisha viwanda vya silaha big time.
 
Nilifikiri majeshi ya nchi zao yameshaizunguka Russia tayari kwa mashambulizi, kumbe unazungumzia matamko hayo yapo tangu anaitwanga Georgia, tangu anaichukua Crimea n.k.

Labda tungoje safari hii pengine ikawa tofauti!
na hiyo ndo tofauti kati yenu nyin zinjanthropus na wao homosapiens , huwa hamna utuliv kweny maamuz ndio maana mnafer kila kona , Sadam katesa miaka 10 akatundikwa kitanz pia Ghadaf kadumu miaka 30 akitamba ila akaangushwa , UTULIVU WA AKILI NDIO SILAHA BORA
 
na hiyo ndo tofauti kati yenu nyin zinjanthropus na wao homosapiens , huwa hamna utuliv kweny maamuz ndio maana mnafer kila kona , Sadam katesa miaka 10 akatundikwa kitanz pia Ghadaf kadumu miaka 30 akitamba ila akaangushwa , UTULIVU WA AKILI NDIO SILAHA BORA
Na vp wewe, ni nani mwenzetu?!!!
 
Sema atakufa shujaa kwa taifa lake kwani ameukataa udhalimu wa mabeberu ameamua kusimama na taifa lake na watu wake hata wale walionjee ya taifa lake wanaonyanyasika na mabeberu [emoji125][emoji125]
duh hv mnatumia akil au kario kufikir , kakutana au kautafuta mwenyew ubaya , yaan anautumia vibaya ukubwa wake halaf anataka watu wake kimya wamwache anavyoonea watoto kisa yeye mkubwa
 
Huna akili. Unajua hao wazibuliwa mitaro hicho ni kikao Cha ngapi wamekaa. Kwani ndiyo watakuwa wameanza kutoa hizo silaha.
Mtaacha lini kutumia Masaburi kwenye kufanya mambo yenu ndegelec nyie!
ukute ww mwenyew timu kupumiliwa , kitu usichokipenda huez pata muda wa kukitaja taja kama ww sio mdau
 
Putin ni mwehu kamili confirmed! Huwezi kuvamia nchi ya watu, kupora ardhi yao, wanapojitetea unapiga makombora ovyo ovyo makazi ya raia . Atakufa kifo cha aibu sana.
PUT IN kachelewa sana

Hao magaidi alitakiwa awavamie tokea mwaka 2015
Utawala wa KIEV niutawala wa KIGAIDI unatakiwa upigwe mabomu yakutosha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaa utulie. Hadi vita itaisha huta sikia USA, GERMANY, FRANCE au UK ame rusha kombora Russia. Why? Wana ujua vzr mziki wa Putin. Ukirusha, hata ukiwa Ukraine, yeye ana rusha Direct nyumbani kwako huko huko....iwe Pentagon, Washington, London, uta jijua huko.
Hizi story za vijiwe vya kahawa bana! Hizo silaha zinazopiga nakukomboa miji ambayo Russia amesema ni sehemu ya ardhi yake zinatoka Marekani na Western.

Putin alisema atakayeshabulia mikoa ambayo imenyakuliwa rasmi na Russia atakuwa ameishambulia ardhi ya Russia.

HIMARS za Marekani ndizo zinazotumika kushambuliwa maeneo yaliyotwaliwa na Russia kila siku na hivi leo Ukraine amekomboa eneo lililokuwa sehemu ya Russia huko kusini.

Mbona Russia harushi hayo makombora huko Washington ambapo ndo makombora ya HIMARS yanapotokea.
 
PUT IN kachelewa sana

Hao magaidi alitakiwa awavamie tokea mwaka 2015
Utawala wa KIEV niutawala wa KIGAIDI unatakiwa upigwe mabomu yakutosha!

Sent using Jamii Forums mobile app
duh una tumia kalio au ubongo kufikir , Ukraine nchi inaendeshwa kidemokrasia sio kama Urusi nchi wqmebadilishana urais wahuni wawili tu tangu 1994 na mfumo huo ndo alitaka kuusambaza dunia kaanzia Syria , Venezuela , Beralus , Kazaskan , Serbia , Hungary , China , N.Korea etc wanafuata nyayo za Utawala wa kimabavu wa Urusi
 
Hakuna raia mwema alouliwa na PUT IN wote wale nimagaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kobaz huwa zinawaaribu akili nahis , au kwenu hakuna hata network ya 3G ? sijaona bomu hata moja limelenga kambi ya kijeshi huko kiev kwq mabomu yale yote 84 badala yake tunayaona barabarani na kwenye nyumba za watu viwanja wa michezo mashule ya wanafunz nk
 
Na vp wewe, ni nani mwenzetu?!!!
najijua na ndio maana siangaiki na aliye nizid napamba na ninapoishia kwanza , ila ww chim panze ee ndo unashindwa hata kujielewa
 
Putin ni mwehu kamili confirmed! Huwezi kuvamia nchi ya watu, kupora ardhi yao, wanapojitetea unapiga makombora ovyo ovyo makazi ya raia . Atakufa kifo cha aibu sana.
Putin ni kichaa haswa wacha achapwe huku tunamuimbia dunia haina huruma

Leo anaomba ajenge hub ya kuuza mafuta na gesi Uturuki ,huyu ni chizi


USSR
 
Nilifikiri majeshi ya nchi zao yameshaizunguka Russia tayari kwa mashambulizi, kumbe unazungumzia matamko hayo yapo tangu anaitwanga Georgia, tangu anaichukua Crimea n.k.

Labda tungoje safari hii pengine ikawa tofauti!
Mzungu haendi kama akili za waafrika,hii vita inamwisho tu maana uchaguzi ujao huyu jamaa hachomoki na warusi watataka afungwe kwa kuiharibu nchi yao

USSR
 
Sema atakufa shujaa kwa taifa lake kwani ameukataa udhalimu wa mabeberu ameamua kusimama na taifa lake na watu wake hata wale walionjee ya taifa lake wanaonyanyasika na mabeberu [emoji125][emoji125]
Walinyanyaswa lini upuuzi mtupu amekabidhiwa taifa zuri analeta mauaji
USSR
 
Back
Top Bottom