Hali tete kwa Vladmir Putin, sasa ni dunia inataka kumtandika

Hali tete kwa Vladmir Putin, sasa ni dunia inataka kumtandika

Safari hii mambo yatakuwa tofauti kidogo, ikiwa NATO watajitia kuishambulia Urusi kijeshi watajuta kweli kweli sio utani.

Taifa la kwanza ambalo litashambuliwa with overwheling power/force at their disposal ni Amerika kasikazini yenyewe - itachakazwa vilivyo ndani ya aridhi ya taifa lao kwa mara ya kwanza tangu lipate uhuru kutoka kwenye utawala wa Uingereza - si utani, Warusi uwezo huo wanao sana sana, msidanganyike kirahisi na mbwembwe na majigambo ya Biden na wapambe wake, vinchi vidogo vifogo vya NATO na kiranja wao mkuu hawawezi kumfanya lolote Putin kama bado wanajipenda,, sisemi Urusi haita adhilika kwa vita, la hasha watapata hasara lakini Amerika ndio ita adhilika zaidi kutokana na Uchina,Korea Kaskazini,Iran,Syria na wengine kushirikiana na Russia kukomesha ujeuri na kiburi cha USA, watashirikiana na Urusi kwa sababu wanajua wakimwachia Merikani hivi hivi uwezi juwa kesho atamvia nani - kwa hiyo time ya deal na ujeuri/viburi vya Merikani is now,now not later.

Nakumbusha kwa mara nyingine tena kwamba Urusi haipo peke yake katika harakati zake za kupambana ukoloni mambo leo unao kuwa preached na Anglo-Saxon gang, mfano siasa za kishetani zinazo hubiri: Unipolar World, so called New World Order, World hegemony and all vices you can imagine - Dunia imekwisha choshwa kusikiliza na kulazimishwa kufuata mahubiri na nyenendo za Lucifer, Duniani inacho taka ni amani ya kudumu,basi na sio mambo ya kuchochea mataifa ili yasielewane na kupenda penda vita kwa ajili ya kunufaisha viwanda vya silaha big time.
Jipe moyo
 
Zaidi ya mataifa 50 ya ulaya yamekutana nchini Ujerumani kujadili namna ya kuipa silaha na kuhakikisha Ukraine anashinda kwenye uvamizi wa dictetor Putin.

Wote wameanzimia kutoa michango ya silaha, fedha, mafunzo, madawa, silaha za kujilinda na makombora.

Hii ni baada ya dicteta Putin kushambulia miji yenye makazi ya watu na kifanya mauaji. Putin akitoboa mwaka huu mtanambia

=====

View attachment 2385387

More than 50 Western countries have met in Brussels to pledge more weapons for Ukraine, especially air defence systems, after Russia launched its most intense missile barrage since the war began.

At Wednesday’s meeting of the Ukraine Defense Contact Group, US Secretary of Defense Lloyd Austin said Russia’s latest attacks had laid bare its “malice and cruelty” since invading Ukraine on February 24.
Ulaya na UN iliyomuua Patrice Lumumba bila hatia ndio leo unasema inatafuta haki Ukraine?

Ulaya iliyoua ndugu zetu kwenye vita vya maji maji bila hatia,ulimewahi kudai hata waombwe radhi Acha fidia?,vipi mauaji ya halaiki ya Nama na Herero wa Namibia haikuumi,ila Ukraine inakuuma?
 
Ulaya na UN iliyomuua Patrice Lumumba bila hatia ndio leo unasema inatafuta haki Ukraine?

Ulaya iliyoua ndugu zetu kwenye vita vya maji maji bila hatia,ulimewahi kudai hata waombwe radhi Acha fidia?,vipi mauaji ya halaiki ya Nama na Herero wa Namibia haikuumi,ila Ukraine inakuuma?

Mkuu,tatizo ni uelewa au tuseme elimu ndogo - lakini hao ndio wanaongoza katika nyanja za ubishi na matusi juu.

Mfano unafikiri ni Watanzania wangapi wanajua historia ya mauuaji ya halaiki ya makabila ya Herero na Nama huko Namibia,je,tuliwahi kusikia Serikali/Taifa la Kijerumani likiburuzwa kwenye Mahakama ya kimataifa kujibu mashataka ya kukihuka haki za binadamu au Ujerumani kulipa fidia kwa Serikali ya Namibia,hakuna!!

Je, Serikali ya Ubelijiji iliwahi hata siku moja kuwajibishwa kwa mauuaji ya Wakongomani wakati wa ukoloni au kulipa fidia Congo DRC kwa uporaji wa mali asili za taifa la Congo, hata huko Ulaya USA iliwahi kuvamia na kuua raia chungu mzima nchini Yugoslavia, kuharibu infrastructures karibu zote, kumkamata Rais na kumuua kwenye mazingira ya kutatanisha - sijawahi kusukia Merikani ukiwajibishwa kutokana na vitendo vyao vya war crime huko Yugoslavia sijawahi kusikia Bill Clinton wala Madelin Albright akiwajibishwa kwenye war crimes za huko Yugoslavia - badala yake Dunia inashinikizwa na akina Biden na genge lake kuitishia Urusi hasa Putin kwamba ashitakiwe for war Crimes conveniently avoiding to mention US past war crimes, cha ajabu kuna baadhi ya viongozi Duniani na raia wengine wanao unga mkono double standards za Wamerikani na wapambe wake,Wana ishupalia Urusi hasa Putin kutokana na msimamo wake thabiti dhidi ya siasa za kubeberu za kutaka kuitawala Dunia kinguvu.
 
Mkuu,tatizo ni uelewa au tuseme elimu ndogo - lakini hao ndio wanaongoza katika nyanja za ubishi na matusi juu.

Mfano unafikiri ni Watanzania wangapi wanajua historia ya mauuaji ya halaiki ya makabila ya Herero na Nama huko Namibia,je,tuliwahi kusikia Serikali/Taifa la Kijerumani likiburuzwa kwenye Mahakama ya kimataifa kujibu mashataka ya kukihuka haki za binadamu au Ujerumani kulipa fidia kwa Serikali ya Namibia,hakuna!!

Je, Serikali ya Ubelijiji iliwahi hata siku moja kuwajibishwa kwa mauuaji ya Wakongomani wakati wa ukoloni au kulipa fidia Congo DRC kwa uporaji wa mali asili za taifa la Congo, hata huko Ulaya USA iliwahi kuvamia na kuua raia chungu mzima nchini Yugoslavia, kuharibu infrastructures karibu zote, kumkamata Rais na kumuua kwenye mazingira ya kutatanisha - sijawahi kusukia Merikani ukiwajibishwa kutokana na vitendo vyao vya war crime huko Yugoslavia sijawahi kusikia Bill Clinton wala Madelin Albright akiwajibishwa kwenye war crimes za huko Yugoslavia - badala yake Dunia inashinikizwa na akina Biden na genge lake kuitishia Urusi hasa Putin kwamba ashitakiwe for war Crimes conveniently avoiding to mention US past war crimes, cha ajabu kuna baadhi ya viongozi Duniani na raia wengine wanao unga mkono double standards za Wamerikani na wapambe wake,Wana ishupalia Urusi hasa Putin kutokana na msimamo wake thabiti dhidi ya siasa za kubeberu za kutaka kuitawala Dunia kinguvu.
Nashukuru umefanya kwa kirefu mkuu,mtu anae ilaani Urusi Hana akili hata kidogo,Na kwa wasiojua,leo Urusi ukishindwa hii vita,dunia ijiandae kwa kutawaliwa kimabavu,hata hawa wanaoitetea humu watalia
 
Putin ni mwehu kamili confirmed! Huwezi kuvamia nchi ya watu, kupora ardhi yao, wanapojitetea unapiga makombora ovyo ovyo makazi ya raia . Atakufa kifo cha aibu sana.
Mzee Putin alikurupuka tu, alidhani alichokifanya Crimea mwaka 2014 basi angeichukua Ukraine nzima kirahisi.
 
Back
Top Bottom