Hali tete Simba: Mo apaniki tena, aushinikiza uongozi uchukue hatua kwa mechi ya leo

Hali tete Simba: Mo apaniki tena, aushinikiza uongozi uchukue hatua kwa mechi ya leo

Bilionea Mo ametoka ku-tweet muda si mrefu, Wana Simba mnasemaje? Hali tete

View attachment 1985575
Wala asitoke povu. Kale kamtindo ka Simba kuongoza kipindi cha kwanza kisha kuridhika na kuanza "biriani" ndo kamewalemaza wachezaji na kakiendelea nadhani yatatokea matokeo ya hovyo zaidi. Aggregate ya 3-0 wakaona hapa tushamaliza game wakaanza usingizi wakati mshindani wao yuko more than serious matokeo yake 3-3. Simba ina mengi ya kujifunza kwa Bayern Munchen na Liverpool. Hawachoki kukutungua magoli kama ukiwaruhusu. Yaani unakula kichapo heavy.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo kauli ya Mo haina tatizo, kuvumilia wachezaji wasiojitambua kama wale wa Simba ni ujinga, tena ni ujinga uliopitiliza, watu wazima hawaijui game management, wanaongoza 3-0 uko nyumbani wanaleta utani mpaka wanatolewa, hakuna mpira una matokeo katili, yale ya Simba jana ni uzembe wa wachezaji 100%
 
Tapeli huyu!!! Kwani ile bilioni 20 inasemaje. Kauza wachezaji wazuri waliofikisha Simba mbali halafu anajifanya hajui kinachoendelea. PUMBAVU!!!
Mchezaji akitaka kuondoka na pesa inayotolewa ni nzuri hakuna sababu kugoma, hata Man utd walimuuza Ronaldo kwenda Madrid, na habari ya replacement haina guarantee hata hao unaowaita wazuri waliposajiliwa ulikuwa huwafahamu.
 
Mkuu Mbappe alitaka kwenda BARCA akawekewa ngumu. Na kuna tetesi PSG watampa pesa ndefu kabla ya msimu kuisha ili atie wino wa mkataba mrefu.Mcheza akiwa mzuri anaweza kuondoka lakini management ina kila sababu ya kujitahidi asiondoke kumruhusu aondoke kwa sababu tu kuna pesa ndefu na yeye anataka kuondoka si sababu tosha ya kumuacha aondoke kirahisi.

Mchezaji akitaka kuondoka na pesa inayotolewa ni nzuri hakuna sababu kugoma, hata Man utd walimuuza Ronaldo kwenda Madrid, na habari ya replacement haina guarantee hata hao unaowaita wazuri waliposajiliwa ulikuwa huwafahamu.
 
Kwa nini asiwajibishwe yeye aliyeuza wachezaji muhimu kama Chama na Miqson kwanza?
 
Hatua ya makundi.
kikubwq tupo Bado CAF.
Simba katoka kwa aggregate ya 3-3.
tunaojua mpira hi sio mbaya.
Je utopplo katoka vipi?.
Unafungwa na kitu kisichokuwa hata kwenye ramani ya soka unasema ni aggregate ya 3-3, na aliyekuambia unajua mpira ni nani?
 
Upo sahihi kbs Simba ya msimu huu haupo vizur kbs kuanzia pre season timu ulikuwa hovyo Sana...kocha uwezo wake ni mdogo Sana alibebwa na ubora wa timu,saiv wachezaji wengi wameshuka viwango beki za pembeni uchochoro zote,pale kati ya uwanja Hakuna utulivu kbs,mbele ndio sifuri kbs
Tukubaliane tu kama sio yako sio yako tu
Hakuna kitu kinachodumu milele.
Simba sifa ziliwaponza
Simba haina kiwango kama cha msimu uliopita
Simba msimu wa usajili ukifika msifanye upumbavu tena sajilini wachezaji na sio wachekeshaji.
Sijapenda fedhehea ya leo
 
Yeye ndo wakuchukuliwa hatua kali /mpuuzi sana huyo nguna
Tapeli huyu!!! Kwani ile bilioni 20 inasemaje. Kauza wachezaji wazuri waliofikisha Simba mbali halafu anajifanya hajui kinachoendelea. PUMBAVU!!!
 
Unafungwa na kitu kisichokuwa hata kwenye ramani ya soka unasema ni aggregate ya 3-3, na aliyekuambia unajua mpira ni nani?
Sasa utamcheka aliyetolewa kwa 3-3.
ukamuacha kumcheka aliyetolewa kwa 2-0 utakuwa unajua mpira kweli?
HAUWEZI KUMCHEKA SIMBA UKAMUACHA UTOPOLO ALIYEKULA 2-0 nje ndani.
Labda iwe haujui mpira
 
Kama kuna mchezaji leo amenikera sana ni Morrison

Mzee wa kukera ameamua kutukera sisi [emoji1787][emoji1787]

Kila akipata mpira alikuwa anapiga mashuti tu, hata katikati ya uwanja
Badala ya kumpima yeye akili mkataka mmpime akili Mkude.Kale ni ka insane kale.
 
Mkuu Mbappe alitaka kwenda BARCA akawekewa ngumu. Na kuna tetesi PSG watampa pesa ndefu kabla ya msimu kuisha ili atie wino wa mkataba mrefu.Mcheza akiwa mzuri anaweza kuondoka lakini management ina kila sababu ya kujitahidi asiondoke kumruhusu aondoke kwa sababu tu kuna pesa ndefu na yeye anataka kuondoka si sababu tosha ya kumuacha aondoke kirahisi.
Kukaa na mchezaji kijyume na mapenzi yake ni ujinga, huyo Mbappe ameshawaambia wazi PSG ataondoka, na alitaka aondoke mapema ili PSG wapate chochote wakagoma, now ataondoka bure, RM ndio destination ya Mbappe it's only a matter of time.
 
Upo sahihi kbs Simba ya msimu huu haupo vizur kbs kuanzia pre season timu ulikuwa hovyo Sana...kocha uwezo wake ni mdogo Sana alibebwa na ubora wa timu,saiv wachezaji wengi wameshuka viwango beki za pembeni uchochoro zote,pale kati ya uwanja Hakuna utulivu kbs,mbele ndio sifuri kbs
Simba haipo vizuri sawa, lakini sio kwa ile game ya jana, pale kuna uzembe wa wazi umefanyika, kama Simba ingekutana na timu ngumu tungeuona ugumu wake toka game ya kwanza lakini kuongoza kwa aggregate ya 3-0 halafu kuja kupoteza kwa away goal rule ni ujinga, tena ni uzembe msiwatetee wale wachezaji mtawalea vibaya waacheni wawajibishwe ndio stahili yao.
 
Mkuu Mbappe alitaka kwenda BARCA akawekewa ngumu. Na kuna tetesi PSG watampa pesa ndefu kabla ya msimu kuisha ili atie wino wa mkataba mrefu.Mcheza akiwa mzuri anaweza kuondoka lakini management ina kila sababu ya kujitahidi asiondoke kumruhusu aondoke kwa sababu tu kuna pesa ndefu na yeye anataka kuondoka si sababu tosha ya kumuacha aondoke kirahisi.
Ona uyu kishoia,anafananisha Simba na PSG,vitu vingine kama hujui bora ukae kimya tu,hakuna timu ukanda huu wa africa mashariki na kati ambayo inaweza kukataa ofa iliyotolewa kwa miqusoin na chama,kuendesha mpira ukanda huu ni ngumu sana kwa sababu zozote zile,msione labda MO kuna kitu anapata hapo,hakuna kitu zaidi ya kutangazwa kwa bidhaa zake ambazo nazo hazitegemei sana,ukilinganisha na pesa anayotoa.
Mpira wa kibongo una unaongelewa sana kuliko uhalisia wake,niseme nimekuwa kwenye moja ya timu ya ligi, ukiondoa ujanja ujanja mwingine hakuna net profit unaweza kupata kwenye soka la bongo.
 
Simba haipo vizuri sawa, lakini sio kwa ile game ya jana, pale kuna uzembe wa wazi umefanyika, kama Simba ingekutana na timu ngumu tungeuona ugumu wake toka game ya kwanza lakini kuongoza kwa aggregate ya 3-0 halafu kuja kupoteza kwa away goal rule ni ujinga, tena ni uzembe msiwatetee wale wachezaji mtawalea vibaya waacheni wawajibishwe ndio stahili yy

Simba haipo vizuri sawa, lakini sio kwa ile game ya jana, pale kuna uzembe wa wazi umefanyika, kama Simba ingekutana na timu ngumu tungeuona ugumu wake toka game ya kwanza lakini kuongoza kwa aggregate ya 3-0 halafu kuja kupoteza kwa away goal rule ni ujinga, tena ni uzembe msiwatetee wale wachezaji mtawalea vibaya waacheni wawajibishwe ndio stahili yao.
Kweli Jana walionesha kiwango kibovu Sana Ila tunatakiwa tuwe makini kujua chanzo ni Nini....tukichukulia hasira za matokeo tunaweza vurugana zaidi
 
Back
Top Bottom