X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Nafasi Bado zipo... harafu kwenye Tangazo Kuna namba za simu...ungejaribu walau kuzipiga...mbona unashindwa kujiongeza ndugu yanguHii ishapita deadline kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi Bado zipo... harafu kwenye Tangazo Kuna namba za simu...ungejaribu walau kuzipiga...mbona unashindwa kujiongeza ndugu yanguHii ishapita deadline kaka
Dah kweli kaka wacha nifanye hivyoNafasi Bado zipo... harafu kwenye Tangazo Kuna namba za simu...ungejaribu walau kuzipiga...mbona unashindwa kujiongeza ndugu yangu
Imekuwaje tena?Washenzi sana...nawaombea wafirisike kabisa...
Mkuu jaribuNafasi za kazi PSG GUARDS Tarehe ya mwisho imesogezwa mbele hadi tarehe 5-June , 2023
Wametufukuza kazi bila kufuata utaratibu wa last in first out...wamefukuza watu Kwa kufuata mihemko na visasi...shenzi kabisa Yani nawaombea wafirisikeImekuwaje tena?
Pole man,umepata sehemu nyingine ama badoWametufukuza kazi bila kufuata utaratibu wa last in first out...wamefukuza watu Kwa kufuata mihemko na visasi...shenzi kabisa Yani nawaombea wafirisike
Poleni sana ndo changamoto ya sekta binafsi usalama wa kazi ni mdogo sanaWametufukuza kazi bila kufuata utaratibu wa last in first out...wamefukuza watu Kwa kufuata mihemko na visasi...shenzi kabisa Yani nawaombea wafirisike
Namshukuru Mungu...nipo najishikiza hapa WS INSIGHT wapo vizuri pia tena Zaidi ya GardaworldPole man,umepata sehemu nyingine ama bado
Nafasi za kazi PSG GUARDS Tarehe ya mwisho imesogezwa mbele hadi tarehe 5-June , 2023
Hongera mkuuNamshukuru Mungu...nipo najishikiza hapa WS INSIGHT wapo vizuri pia tena Zaidi ya Gardaworld
DarUpo sehemu gani
Namshukuru Mungu...nipo najishikiza hapa WS INSIGHT wapo vizuri pia tena Zaidi ya Gardaworld
NdioMkuu mliachishwa kazi kwa barua?
Ndio