Hali ya barabara ya Dumila - Handeni - Korogwe, Je ni barabara ya lami au vumbi?

Kama kutokea huko magharib safar yako itakufikisha singida basi pita manyara, arusha kilimanjaro then waingia korogwe
 
Aisee pole sana I can feel your situation there, Huwa Haya mausafiri muda mwingine yakiamua kuzingua huwa ni tatizo kubwa sana, unaweka rehani uhai yaani. Mi kuna siku kutoka Nara kufika Dodoma Mjini ilitumia masaa 5 gari ilikuwa inachemsha
 
Most welcome, Lushoto is till vargin land, full of greenish everywhere
Mkuu asante sana.
Nimezunguka sana nchi hii karibia kila wila lkn Lushoto sijafika naiona juu milimani nikipita Mombo.

Sifa zake zinanivutia.

Navutiwa na baridi la huko, utulivu na mazingira jinsi inavyosifiwa.

Panapo majaaliwa mwaka huu natanani kuja
 
Ongea osie kweli we unaijua hiyo njia sio hao wahuni waliotangulia kucomment wakati wapo Kizuramimba au Buzirayombo hawajawahi hata kufika makao nakuu ya mikoa yao
Honga mgoshii, nzenze??
 
Mkuu ukifika turiani weka kituo kidogo tupate kuku wa kuchoma[emoji3][emoji3]

Kama unatokea dodoma pita njia ya Turiani-handeni njia ni nzuri na ni fupi sana
 
Ni lami tupu kutokea hapo Dumila-Turiani-Mziha-Negelo-Handeni mpaka Korogwe. Ila uwe makini kuna maeneo kadhaa yana kona sharp.
Mimi huwa nalima Kijiji kinaitwa Dihinda, ukitoka Madizini Turiani unavuka shamba la mitiki la Mtibwa then unaingia hapo Dih. Miezi 2 iliyopita nilikuwa huko lami ambayo imetoka pale Feri (mbele kidogo ya Dumila ukiwa unaelekea Dakawa) imeishia pale njia panda ya kwenda Madizini au Mtibwa Sugar factory... Huko mbele pote ni vumbi tuu...
 
Nakushauri ukifika Dumila nyoosha mpaka Morogoro mjini, pale Msamvu ingia Terminal Pub ugonge menu, wana nyama, kuku, samaki fresh sanaa, huku gari ikioshwa kwenye car wash yao... Baadae nyoosha mguu mpaka njia panda ya kwenda kwa mzee wa Msoga, lami tupu unakuja kuibuka mbele huko unaungana na barabara ya Chalinze - Segera...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…