Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
kama tz ndio walikuwa master plan mbona kenya ndio kawa kiherehere alafu yeye ndio anaonekana mkombozi
Tz wanaboa wanatumia nguvu kubwa alafu uchumi ziroJirani mwema
Tz wanaboa wanatumia nguvu kubwa alafu uchumi ziro
ahaahhaa dah.kumbe wapo VIZURI eehthat why nikasema now hana makali kivile
unajua ata sudan walitaka kuweka mtu wao CIA wakaingilia kutibua kwa mgongo wa kenya
ahaa mkuu hebu dadavua kidogo hapoSudani kusini,ni kweli ,na baadhi ya mipango ilipangwa Arusha ,Ngurdoto
wamo lkn wanapenda ujiko tuahaahhaa dah.kumbe wapo VIZURI eeh
bhas Mimi nawadharaulig
tatizo ni sera za ujamaa alafu faza wa ujamaa katususa africaHahahaha
tatizo ni sera za ujamaa alafu faza wa ujamaa katususa africa
kama urusi wangekuwa na maslahi naafrica najua wangeitumia tz kwenye shughuli zao za kijasusi
na ingewezekana kabisa nusu ya viongozi wa africa kuwa wana asili ya bongo
Tulimuudhi tulipoanzisha NAM badala ya kukomaa na ujamaa that why hatuamini tena ila kiasi fran anamuamini tzHahahaha
Sasa Faza wa ujamaa ndio huyo kawa mkabaila,ukimkopa na ukashindwa kulipa anachukua kilicho muhimu kwake
Urusi ,Africa siju tumemuudhi nini na wapi
Watu mnayajua du!Sudani kusini,ni kweli ,na baadhi ya mipango ilipangwa Arusha ,Ngurdoto
MIMI KWA HERUFI K
Ndugu NLF na RNC yana nguvu tusubili mda tuone kitatokea nini
Hii ndio top 25:
Here are the Top 25 countries providing UN Peacekeepers:
1. Ethiopia (8,326)
2. India (7,471)
3. Pakistan (7,161)
4. Bangladesh (6,772)
5. Rwanda (6,146)
6. Nepal (5,131)
7. Senegal (3,617)
8. Burkina Faso (3,036)
9. Ghana (2,972)
10. Egypt (2,889)
11. Indonesia (2,867)
12. China (2,639)
13. Tanzania (2,341)
14. Nigeria (2,170)
15. Niger (1,871)
16. Togo (1,661)
17. Morocco (1,607)
18. Chad (1,489)
19. Uruguay (1,457)
20. South Africa (1,427)
21. Brazil (1,303)
22. Kenya (1,229)
23. Benin (1,174)
24. Cameroon (1,137)
25. Italy (1,114)
Rwanda iko top 5,Burundi iko no. Ngapi hapo?hahah, number hazidanganyi bro.
Kwani nimekataa kwamba Burundi imeambiwa ipunguze wanajeshi 1000?Hi list sijui umeitoa wapi maana mimi siku naandika hapa nilisikia bbc siku hiyohiyo kwamba burundi inawanajeshi zaidi ya 1000 wakulinda amani somalia na imeombwa ipunguze japo imekataa hiyo list yako kama hayupo burundi haiko sawa
Burundi haiwezi kua tishio kwa Rwanda hata siku moja. Na wakitaka nchi yao iwe na utulivu waachane na Rwanda. PK kumkabili inahitaji akili kubwa ambayo Nkurunziza hana.
sidhan kama watapigana kiukabila apa kila mtu lzm atetee taifa lake
PK hana jeuri ya kuanzisha vita na taifa lolote ile nchi kwa jinsi ilivyoVita havina macho.
hii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
ovyoo eti eehOvyoooo