KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Umeongea ukweli......Hadi pale wahutu wa Rwanda watakapoanza kumsaidia mhutu mwenzao wa Burundi ndiyo utagundua vita siyo a,b,c,d.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea ukweli......Hadi pale wahutu wa Rwanda watakapoanza kumsaidia mhutu mwenzao wa Burundi ndiyo utagundua vita siyo a,b,c,d.
kuna mtu anadai ni missile from us military base iliyopo bukobaJuzi kati kuna kitu ilisemekana ni kimondo kiliangukia ziwa victoria wataalamu wetu wa majini bado hawajakiona au kiliyeyuka?
Sent using Jamii Forums mobile app
hawana jeuri hyo kama slim yeye kapata bm-21juzi amefanya na sherehe missile atatoa wap
tena wanadai zipo tatu na moja ndo hyo iliyopiga hyo missile($idhan) kwamba that why goverment imevunga
Burundi haiwezi kua tishio kwa Rwanda hata siku moja. Na wakitaka nchi yao iwe na utulivu waachane na Rwanda. PK kumkabili inahitaji akili kubwa ambayo Nkurunziza hana.
kivip wamechuja pua ndefu?Jeshi letu Mungu alilinde baada ya kuchuja pua ndefu daah liko makini mno hongera Luteni Jenerali Yakub M
hingera ya nn kwa jw na kimondo kinausikaje hapo?Hebu acheni kututisha bana mimi nipo Benaco huku nakumbuka Kimondo kile kilikosea njia na wakwetu wako makini mno hongera JWTZ Mungu awalinde masaa na dakika zote
nakuunga mkonoHuenda tulikosea kuwakaribisha hawa wenzetu kwenye EAC...ni watu waliozoea kuuwana. Yaani wasipoona damu ya halaiki ikitiririka mioyo yao haitulii. Kuna umuhimu wa nchi hizi kuchukuliwa na kuwa mikoa ya Tanzania. Jwtz kapanueni mipaka ya nchi yetu
Du, si wanasema kagame kawaua wahutu wengi sana sasa hivi ni 50% kwa 50%Kagame anakubalika kua mjanja mjanja ,ninashangaa anaamsha hasira za wahutu 80%,ndani ya Rwanda ambao anawatawala kwa msumali wa moto ,lkn yetu macho
Mhh ...unasema kweli?? Kawezaje kuwauwa na kufanikiwa ku balance the equation?? Maana hapo awali ilikuwa 85% kwa 15%Du, si wanasema kagame kawaua wahutu wengi sana sasa hivi ni 50% kwa 50%
We Murundi ongea Lugha ya Taifa.TUGOMBA GUTEGEREZA TUKAZAREBA!
Kwakweli "Huenda tulikosea kuwakaribisha hawa wenzetu kwenye EAC...ni watu waliozoea kuuwana. Yaani wasipoona damu ya halaiki ikitiririka mioyo yao haitulii. Kuna umuhimu wa nchi hizi kuchukuliwa na kuwa mikoa ya Tanzania. Jwtz kapanueni mipaka ya nchi yetu
Haahaahaahii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
Yaani hawa jamaa " ila wazichape tu ... binafsi na wachukia wote madikteta hawa pumbavu .. ijapo kuwa kagame na mchukia zaidi huwenda ikawa mwisho wake umekaribia sasa ...Ardhi zao zina kiu ya damu hawa ndugu wawili