Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

Hahahahaas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo Majeshi yote ya Rwanda yatarudi Rwanda?
 
Burundi haiwezi kua tishio kwa Rwanda hata siku moja. Na wakitaka nchi yao iwe na utulivu waachane na Rwanda. PK kumkabili inahitaji akili kubwa ambayo Nkurunziza hana.
Siyo unavyoona wewe kuna kitu nyuma ya pazia ambacho PK hueanda akaangushwa na Burundi nkurunziza siyo Kama unavyomzania Yule ni mlokole aliyejipanga ndiyo maana unaona hahudhurii vikao vya jumuia ya EAC Unajua Kwanini!
Ndiyo Ufikiri upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ni propaganda za Rwanda ili apate kisingizio cha kupigana na Burundi, Kagame anataka aweke utawala wake. Hafu Wanyarwanda na Warundi ni jamii moja vita vya nn?
Tambua tu kuwa hata watoto wa mama mmoja hupigana
 
Mkuu acha kuota.hakuna hata kimoja walicho tupita labda unge nmbia ni nchi inayo kuja kwa Kasi katika nyanja hizo.kitu kama intejensia kina hitaji msingi imara ambao Rwanda hana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a wise man from this forum once said, " Kagame is overrated"
 
Burundi haiwezi kua tishio kwa Rwanda hata siku moja. Na wakitaka nchi yao iwe na utulivu waachane na Rwanda. PK kumkabili inahitaji akili kubwa ambayo Nkurunziza hana.
Toa ushahidi kidogo ueleweke.mapenz na ushabiki uviache pembeni.tuambie umetumia kigezo gn kutoa hayo maoni yako?? Km ni ushabiki na mapenz useme.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndio ukweli wa kweli kw mwenye ufahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…