Kiongozi , umeandika ukweli ambao wanaujua wachache.Believe or not, Rwanda has more enemies within than outside!
In addition Kagame haelewani na Uganda kwa sababu M7 anaunga mkono wapinzani wa PK including Gen Kayumba Nyamwasa. Sasa PK kuwa kwenye mgogoro na Nkurunziza ni kujiongezea matatizo.
Kwa sasa Burundi wanapata misaada ya kiuchumi na ulinzi kutoka SA, China, Russia, Libya & Misri. Pia yeyote akubali au asikubali, Tanzania ni rafiki mkubwa wa Burundi kuliko Rwanda.
PK anatiwa jeuri na US, Israel, UK, Canada, Australia pamoja na baadhi ya nchi za umoja wa ulaya.
Marwa_Jhii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza dhana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
majambazi ni watoto wadogo sana kuweza kumvamia kila mtu niamini mimi faida za hao vichaa kutwangana ni kubwa sana kwetu kuliko hasara harafu mazingira hayawezi kuharibika sana kama yanavyoharibiwa na viwanda huko China kwahiyo wewe kaa standby ukisikia kagame kalianzisha wahi rusumo na kabanga fasta kwaajili ya zoezi la kuchota pesa za burebureMarwa_J
Ndgu hapo umeangalia faida ndogo kwenye hasara,kumbuka madhara ya mazingira na hawa ndgu zetu mipakani msoto wa ujambazi , hebu fafanua basi.
😀😀😀😀majambazi ni watoto wadogo sana kuweza kumvamia kila mtu niamini mimi faida za hao vichaa kutwangana ni kubwa sana kwetu kuliko hasara harafu mazingira hayawezi kuharibika sana kama yanavyoharibiwa na viwanda huko China kwahiyo wewe kaa standby ukisikia kagame kalianzisha wahi rusumo na kabanga fasta kwaajili ya ziezi la kuchota pesa za burebure
Akili gani sasa ya kudili na Mr slim huyo Ukitaka kumtia adabu ujue kwanza ana maadui wa kutosha hapo nyumbani kwake so ni simple sanaBurundi haiwezi kua tishio kwa Rwanda hata siku moja. Na wakitaka nchi yao iwe na utulivu waachane na Rwanda. PK kumkabili inahitaji akili kubwa ambayo Nkurunziza hana.
Naamini Burundi ni imara sana kuliko unavyoifikiria.Teh teh teh teh Burundi haiwezi kupambana na Rwanda. Labda ipate msaada wa kutosha.
Hizo ni propaganda za Rwanda ili apate kisingizio cha kupigana na Burundi, Kagame anataka aweke utawala wake. Hafu Wanyarwanda na Warundi ni jamii moja vita vya nn?
Unasahau ujambazi, uharibifu wa mazingira na masuala ya uraia na usalama wa taifa letu. Amani kwenye hizi nchi mbili ni muhimu sana kwa Tanzania kwa kifupi tunakimbia majukumu yetu.hii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
Ila jua kwamba kabila zilizoko burundi ndizo zilizoko rwanda, na elewa kwamba nia ya PK ni kwamba kabila lake litawale pia Burundi, na Nkurunzinza alishasoma hizo nyakati muda mrefu sana, sasa elewa kwamba kabila la Kagame nchini kwake ni 20% tu kama sikosei, na usidanganyike kwamba wanyarwanda wengi wanapenda utawala ule, kuna ma maater mind wengi walikimbilia uhamishoni na ni matajir kukwepa kifo cha kagame,,kwenye majela wamejaa wahutu, serikalini kwenye nyathifa kubwa zoote ni watusi tupu, kwa hio elewa kwamba burundi ana support kubwa nchini kwake na ndani ya rwanda, upande wa 2, taifa kama Tanzania tutakua njia panda manake hata kama jiwe ni best friend wa PK lakin kihistoria Burundi ni mwana wa Tanzania, kuanzia hata viongozi wake woote wametokea hapa, tatu manirani woote wanaomzunguka PK urafik ni wa mashaka, mseven mwenyewe wanachoko choko, kenya haziivi kabisa...kwa hio hii game PK anatakiwa acheze kwa akili sana walioshika bendera yake nje ya uwanja ni wengi ila mioyoni ni mashabik wa burundiBurundi haiwezi kua tishio kwa Rwanda hata siku moja. Na wakitaka nchi yao iwe na utulivu waachane na Rwanda. PK kumkabili inahitaji akili kubwa ambayo Nkurunziza hana.
Hiyo Vita watapigana kikabila kutoka Chigali mpaka Bujumbura, PK hawezi kuruhusu uwazi huo kuruhusu apigane Vita ya wazi na Burundi anajua atakuwa ana maadui wawili kutoka nyumbni kwake na hao wa Burundi.Ndugu angalia mfano wa vita ya Elitiria na Ethiopia ( upo kwenye top 10 ya majeshi imara afrika )
Ubora wa Ethiopia hata haukuonekana kabisa Burns vs Rwnd kila 1 ana marafiki na mbaya mimi naonaona kagame ana maadui wengi kwasababu ya uchokozi wake MF:Uganda , DRC n.k
kwani akiwapiga kisiri siri warundi watakaa tu wakimuangalia?Hiyo Vita watapigana kikabila kutoka Chigali mpaka Bujumbura, PK hawezi kuruhusu uwazi huo kuruhusu apigane Vita ya wazi na Burundi anajua atakuwa ana maadui wawili kutoka nyumbni kwake na hao wa Burundi.
Na wahutu Rwanda ni wengi kuliko hao watutsi wa kagameHadi pale wahutu wa Rwanda watakapoanza kumsaidia mhutu mwenzao wa Burundi ndiyo utagundua vita siyo a,b,c,d.
ahahhaah aisee.hii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi