Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Hahahaaaaa mkuu sasa ukifika makambako, njombe,mbeya si utarudi siku hiyohiyoHii picha umepiga muda gani? Ni jioni au asubuhi?
Huo mji kama umetokea DAR unaweza ukarudi siku ya pili
Kwa lugha nyingine unatumbia kuwa hata hujaoga.Nimekuja jana ila leo hali inatisha sana. Yaani kuna baridi kiasi cha kwamba unatamani usitoke room katika hotel niliyofikia.
Wenyeji huwa mnakabiliana na hali hii kwa mbinu zipi wazee?
HahahahaHahahaaaaa mkuu sasa ukifika makambako, njombe,mbeya si utarudi siku hiyohiyo
Kumejeuka ukraeniNimekuja jana ila leo hali inatisha sana. Yaani kuna baridi kiasi cha kwamba unatamani usitoke room katika hotel niliyofikia.
Wenyeji huwa mnakabiliana na hali hii kwa mbinu zipi wazee?
Huo ni kuogopa kitu ndogo hivyo.Hii picha umepiga muda gani? Ni jioni au asubuhi?
Huo mji kama umetokea DAR unaweza ukarudi siku ya pili