Hali ya hewa Arusha ni baridi sana leo

Mkuu baridi unalijua au unalisikia, hapo Arachuga kuna baridi kweli.....umewahi kukaa mji mmojawapo kule kwa mabeberu au kule kwa Putin hasa kipindi ambacho wao wanaita winter, mbona utaimba hadi korodani zote zinaingia tumboni.
Mbona unaleta story za kufikirika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…