Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Natabiri kuanzia saa 3 usiku wa leo, wale nzi na vyura wa kijani popote pale hapa nchini, watakuwa kimya huku wale ngedere na simba wekundu wakipiga kelele za hapa na pale. Wakishangilia wenzao wakipata kipigo na mateso makali kama yale ya Yesu msalabani toka kwa Masandawani.
Natabiri. kuanzia saa 5 usiku. Vyura na nzi wa kijani watapaaza sauti nyingi zinazoambatana na harufu mbaya toka midomoni mwao wakishangilia mnyama simba akila kipigo cha mbwa koko na mateso makali mithili ya mhanga aliyefumaniwa huko somalia au yemen.
Noise popullation itakuwa kwa kiwango cha juu huku asilimia kubwa ya watu wanaioshi mijini wakilala kuanzia saa 8 usiku. Kelele zitaendelea kwa muda wa wiki nzima.
Natabiri. kuanzia saa 5 usiku. Vyura na nzi wa kijani watapaaza sauti nyingi zinazoambatana na harufu mbaya toka midomoni mwao wakishangilia mnyama simba akila kipigo cha mbwa koko na mateso makali mithili ya mhanga aliyefumaniwa huko somalia au yemen.
Noise popullation itakuwa kwa kiwango cha juu huku asilimia kubwa ya watu wanaioshi mijini wakilala kuanzia saa 8 usiku. Kelele zitaendelea kwa muda wa wiki nzima.