Hali ya hewa leo Dar

From uangalie na mtoto mzuri kama new gal ili awe anakudandia Sandia wale watu wakutisha wanaokuja usiku?🤣🤣🙌
 
Yaani manyunyu kidogo tu ndio imekuwa baridi hadi kuanzishia nyuzi?

By the way hiki ni kipindi jua la utosi lipo mzingo wa kaskazini wa dunia, wakati kusini mwa dunia ni baridi...

Hivyo ni kawaida miezi hii hata kwa Dar kuwa na jotoridi lenye ubaridi, upepo kiasi...

Pia mabadiliko ya hali ya hewa yamechangia Dar kuwa na joto la chini, mathalani mwaka jana Dar ilikuwa na kipindi kirefu cha jotoridi lenye ubaridi kwa muda mrefu...
 
Asante kwa kuongea kijiografia mkuu🤝
 
Uko vizur mkuu
 
Nikwambie kitu, Na leo siogi😅😅
 
Hali kama hii, unajifungia ndani busy na series huku ukisindikizia na hanson's choice uloimix na azam ukwaju taratiib, unashusha episode tu.
huku mkono mwingi ndani ya nyonyo😛
 
Hilo ndio baridi la Chuga kwenu kipindi hiki🤣🤣
Nalielewa sana maana nimekaa huko kikazi miaka 7.
Hapa nina blankets mbili, socks na nguo za kutosha na bado natetemeka
 
Hapa nina blankets mbili, socks na nguo za kutosha na bado natetemeka
Nasikia baridi ya mwaka huu A town si mchezo😂😂
Haha unanikumbusha inapofika asubuhi muda wa kwenda job, unapasha maji lakini una mawazo ya kibaridi baridi🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…