Hali ya hewa leo Dar

Hali ya hewa leo Dar

Yaaani haka kamvua nimeweka miguu ju utasema nna hela 😀😀

Naangalia zangu movie nawaza ningepata na kijikitimoto aah weeee
Hivyo havitoi baridi, kinachotoa baridi ni popo kafanyaje sijui..
 
Kambua na hii ndio vinaenda 😊
Screenshot_20230702-165417.png
PXL_20230702_135403528.PORTRAIT.ORIGINAL.jpg
 
Watu wa dar bwana, hili suala nalo ni la kulaumu TMA? Mnataka kila muda mpewe uangalizi kama vifaranga vya bata vyenye masundosundo
Tunawalipa mshahara hajawekwa pale wacheze zuma deluxe
 
Back
Top Bottom