Hali ya hewa leo Dar

Hali ya hewa leo Dar

Mwanang imeisha hapa sielew inabd nirudie
Njoo huku tuangalie hiki kitu. Hakika hautajuta mrembo New Gal😍😍
images.jpeg
 
Kwahiyo kuanzia leo naikutanisha mikono yenu kujenga kilichobora kabisa kati yako na wimbo wa taifa😊
New Couple in town weraaaaa🤸🌹
Atakayetaka kuingilia hapa niambieni, nitatumia mamlaka yangu kumsambaratisha😆
😅😅😅 imekuwa sealed kabisa na muhuri wa moto
 
Akikuona mke wake shauri yako, mi sihusiki😀🏃‍♀️
Hajaoa bhana wimbo wa taifa, kabla sijakuwa mtoa assist nilijiridhisha kwa kuongea na majirani kwanza kumsoma tabia yake mpaka ka wazazi kule Matombo ili nisije nikakuweka katika mikono ambayo utateseka. Hapo umefika yaani ni sawa na Ile kujisemea moyoni "NOW I FIND THE RIGHTONE"😊😊
 
Back
Top Bottom