Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Yule mwehu alikosea sana kuhamisha serikali na wao wakamkubalia tu kisa alikua kichaa, sasa wanaona kwamba haikuwa sahihi ndiomaana kila uchao wako Dar wamejazana wanapiga misele tu , ukiuliza eti wamekuja kutalii ili wasisahau mitaa ya jiji, kimsingi hakuna hata mmoja wa watumishi waliotaka kwenda kuugua trakoma huko ni wazimu tu wa mwendazake
 
Mzilankende Alikataa Asizikwe Dodoma
Alisema Fisi Wa Watani Zake Watafukua Kaburi
Yule Jamaa 😁😁😂🤣😃😃🤣😂😄😅😄😁😀
 
Ukii dodoma ,moro,singida tegemea ngozi yako kuwa ovyo ovyo

Hi mikoa Hali zake za hewa na maji yake sio rafiki kabisa.


Watu wa pwani Wana ngozi nzuri sababu ya hali ya hewa na maji
 
Dodoma Malaya anataka 80000 mpaka 70000 kulala nae mpaka asubuhi short time wanataka 30000 mpaka 40000
 
Uko vizuri kitabia
 
Ukii dodoma ,moro,singida tegemea ngozi yako kuwa ovyo ovyo

Hi mikoa Hali zake za hewa na maji yake sio rafiki kabisa.


Watu wa pwani Wana ngozi nzuri sababu ya hali ya hewa na maji
Kwenye list yako ondoa moro wewe, usilinganishe Moro na siginda acha mazereu [emoji23][emoji23]

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
 
Kwenye list yako ondoa moro wewe, usilinganishe Moro na siginda acha mazereu [emoji23][emoji23]

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Morogoro ni mkoa mzuri sana, fursa ni nyingi za pesa japo mzunguko ni mdogo sana wa pesa, na wakazi wa hapo wamezubazuba na wavivu sna.

Moro maji ni machafu, kama ni mtu unajali ngozi yako kuwa mweusi haipukiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…