Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Pole ndugu, karibu makao makuu yanchi
1. Usiogee sabuni za vipande meaning zile kama lux na aina zake, tumia sabuni za maji .
2. Nenda famasi esp. ya Nakiete barabara ya kwenda sabasaba nunua Bio oil for dry skin.
Jitahidi kusafisha pua zako kila siku maana vumbi hutalikosa.
Ushauri wa bure[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani human beings karne ya 21 bado wanalalamikia weather ya eneo analotafutia hela zake na mali kama litoto lidogo la kindergarten?

Majitu yasiyojua yamekuja huku duniani kutafuta mali for themselves and their descendants

Bure kabisa yaani!

Watu wanatafuta hela North Pole na kwenye deserts huko,hawalalamiki,then mijinga fulani hivi ya TZ yapo tropican weather cunducive to anyone eti yanalalamika kama masichana

Fvck yall!
Watanzania hawajazoea changamoto, kwa kila kitu. Hata kazi wengi wanalalamika wakati nchi nyingine mtu anaona ufahari kufanya kazi. Mtanzania hata kusoma makala ndefu anaona ni adhabu. Chochote kile anataka ale au akipate kwa ulaini. NB: Sehemu kama Dodoma ukiwapa wazungu waishi kwa kutumia raslimali hii hii wakaazi wa Dodoma waliyonayo, baada ya miaka mitano itakuwa sehemu nyingine kabisa.
 
Yaani human beings karne ya 21 bado wanalalamikia weather ya eneo analotafutia hela zake na mali kama litoto lidogo la kindergarten?

Majitu yasiyojua yamekuja huku duniani kutafuta mali for themselves and their descendants

Bure kabisa yaani!

Watu wanatafuta hela North Pole na kwenye deserts huko,hawalalamiki,then mijinga fulani hivi ya TZ yapo tropican weather cunducive to anyone eti yanalalamika kama masichana

Fvck yall!
Watu kama hawa ndio wanafanya nchi usiendelee kutwa kulalamika hata vitu vidogo.
 
Exactly, ingekuwa rahisi kwa nchi zilizoendelea......kwa sisi pwagu na pwaguzi itachukua karne nzima kupafanya Dodoma pawe na hali ya hewa ya kuridhisha.
Kwahyo dar ndio kuna hali ya hewa ya kuridhisha ?
 
Back
Top Bottom