Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Kwani kwenye uislamu hakuna huu ushaitwani!!? Kuna watu wanaua wenzao eti kisa uende peponi kurithi mabikira 72,ni moja ya ujinga wa hizi dini!!
Kwahiyo huyo anayeua watu ndio dini imeua??!--- yaani mfano Mtu akizini tutasema dini ndio imezini??!!