Hali ya kutokupenda ujulikane wewe ni kabila gani maofisini ni uzalendo au ni usaliti?

Wengi wao utakuta wana asili ya nchi jirani malawi,zambia,kenya,burundi na uganda.

Yupo mzambia mmoja alikuwa branch manager wa benki lakini alikuwa anajificha huyo akidai kwao Katavi sijui huwa wanaogopa nini. Lakini kabila la mtu halijifichi utajulikana tuu.
 
Unamuuliza mtu kabila unataka kutambika ( Julius Nyerere)
 
Kila mtu anapaswa kuwa huru akitaka kujulikana kwa kabila lake sawa na asipotaka kujulikana pia sawa.
 
Mkataa kwao mtumwa, hata wewe kuweka avatar ya mdhungu ni ulofa na kuukataa uafrika wako
Unajua maana ya Uafrika?
Unaangalia movie na kusikiliza music?
Unavaa nguo za vitambaa?
Una dini yoyote?
Unamiliki TV, simu, redio, feni au hata sofa?
Unaishi ndani ya nyumba ya kisasa?
Unapanda gari, pikipiki au hata baiskeli?
Unamiliki smartphone?
Je unatumia Internet?
Je unatumia JamiiForums?

Jibu swali hata moja kati ya hayo, kama hapana kwa yote basi wewe kweli ni Muafrika otherwise ni mtumwa asiyejitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…