The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mleta mada una tatizo sema tu hujajigundua bado kama una tatizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamuuliza mtu kabila unataka kutambika ( Julius Nyerere)Mnaofanya Kazi katika ofisi za Uma na za private lazma mtakubaliana na mim kuwa Kuna watu huwa hawataki wajulikane kuwa yeye Ni kabila gan,mfano watu wa Kanda ya ziwa waliobahatika kusoma na kuajiliwa kwenye ofis za Uma huwa hawapendi wajulikane walikotoka.
Wanawake wa Kisukuma ndo wanaongoza kwa Tabia hii.
Kwa Sasa npo kweny ofis moja ya Uma Kuna jamaa Ni kabila fulan ila hataki ajulikane kuwa yeye Ni kabila Hilo,Kuna ciku alikuwa anaongea na cm kisir kwa kilugha ndo nkajua kuwa kumbe jamaa Ni wa kabila Fulani ila hatak kuongea kilugha na watu wa kabila Hilo hata mkiwa nje ya ofisi.
Swali Ni je yeye anadumisha uzalendo wa kuondoa ukabila au anasaliti kabila lake?
Mkataa kwao mtumwa, hata wewe kuweka avatar ya mdhungu ni ulofa na kuukataa uafrika wakoUkabila ni chanzo cha utenganifu hivyo hauna maana.
Unataka kujua kabila la mtu ili iweje?
Unajua maana ya Uafrika?Mkataa kwao mtumwa, hata wewe kuweka avatar ya mdhungu ni ulofa na kuukataa uafrika wako
Usaliti kwa maana gani?Achen usaliti jamani