black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
😀Hakuna jinsi aisee.
Pia Ukikaa Kigamboni jinunulie lifejacket kaa nalo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀Hakuna jinsi aisee.
Pia Ukikaa Kigamboni jinunulie lifejacket kaa nalo.
Huwa wanafanya kwa vitendo Mara moja moja pia kuna michoro inaelekekeza jinsi ya kuvaa kwenye panton Ila Ndio hadi uione ni kaziMimi sipo kigamboni ila nishawahi kupanda vivuko ivyo na hawatoi hata elimu yakutumia life jacket vinaendeshwa kienyeji enjyeji hata watu wengi hawajui kutumia maboya hayo na inabidi wawe wanatoa annoucement ya safety ukiwa kabla haujapanda with video. Action
pole sana watumia pantone kigamboni,Ndugu yetu Lucas Mwashambwa husika na kichwa cha habari cha hapo juu
Tupazie sauti Sisi wakazi wa kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako View attachment 3022628
Hao Wazee wwili ndiyo akina nani hao!? Wataje tufunguke!!Yaani mmewakabidhi roho zenu hao wazee wawili, ?
Unaongea tu kwa kujiangalia wewe binafsi. Na hii ndio shida ya viongozi pia.Bora niingie gharama tuu huto tudude Mimi kupanda hapana
Shauri yenu kama hamwezi kupaza sauti kubalini mateso.Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako.
Poleni sana wakazi wa Kigamboni. Mamlaka hu sika wamewasikia.Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako.
Wanasubiri majanga yatokee ndiyo waamke. Poleni.Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako.
Temesa ni uchafu tu wameahindwa hao boti walipewa tatu mpaka sasa zote ni mbovu ila na uhakika ukipewa gharama za matenfenezo wanazoliowa unaweza hata nunua boti mpya.Wampe azam pale alete vinu nyukii fasta tu.Temesa wajitafakari ila pia wapo karibu na navy hapo hamna shida itakayotokea hapo town ukiwa kwenye panton unaona bandarini pale ,temesa waharakishe vyombo virudi haraka majini
Walidengua wenyewe. Mbunge wao sijui nan aiseeMV si mia 2 au imepanda. Aisee, ila Kigamboni mngempata Makonda angeamsha amsha sana huko.