KERO Hali ya kuvuka Kigamboni si shwari, tunalazimika kuvuka kwa mitumbwi

KERO Hali ya kuvuka Kigamboni si shwari, tunalazimika kuvuka kwa mitumbwi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wampe azam nini? nchi nzima au? Ina maana kila kitakachokuwa kigumu akabidhiwe azam? Ianze Ikulu basi!
Na wewe umeona ehe?Hawa watu kufikiria ni sifuri mawazo yao yako kitegemezi tegemezi tu,kwani bila Azam maisha Tanzania hayawezi kwenda?
 
Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana

Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua

Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi

Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa

Wasalaam ni Mimi ndugu yako.

mimi baada ya kuishi kigamboni ndo nilikuja kujua serikali yangu ni hovyo kiasi gani kupitia hivyo vivuko
 
Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana

Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua

Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi

Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa

Wasalaam ni Mimi ndugu yako.

Piga mbizi
 
Wapo hivyo... Na hawaoni aibu
Wanasikitisha sana.Juzi juzi huku kwetu Tarime Vijini kulikuwa na mashindano ya mpira wa miguu kwa jina maarufu la WAIRA CUP.Cha ajabu baada ya fainali kulikuwa zawadi kwa mshindi wa kwanza Sirari na mshindi wa pili Nyamongo basi zao zote hao waliochukuwa zawadi zilipata ajali na kijana wa Sirari kufariki papo kwa papo.Kwenye mazishi yake Mbunge huyo alitoa pole na pesa lukuki kama faraja kwa wafiwa na tambo nyingi pamoja na vitisho kwa wale ambao hawakuridhika na ajali hizo.
 
Back
Top Bottom