Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Wanasiasa wa ccm kwa sasa wametelekeza vivuko vya Kigamboni.Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Watarejea ajali mbaya ikitokea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasiasa wa ccm kwa sasa wametelekeza vivuko vya Kigamboni.Tupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Kwani iyo chuma kubwa haipigi mzigo au nauli kubwa, ivo vidude bei gani?
Hakika.Serikali kutwa kufeli tu
Ova
Wampe azam nini? nchi nzima au? Ina maana kila kitakachokuwa kigumu akabidhiwe azam? Ianze Ikulu basi!Temesa ni uchafu tu wameahindwa hao boti walipewa tatu mpaka sasa zote ni mbovu ila na uhakika ukipewa gharama za matenfenezo wanazoliowa unaweza hata nunua boti mpya.Wampe azam pale alete vinu nyukii fasta tu.
Na wewe umeona ehe?Hawa watu kufikiria ni sifuri mawazo yao yako kitegemezi tegemezi tu,kwani bila Azam maisha Tanzania hayawezi kwenda?Wampe azam nini? nchi nzima au? Ina maana kila kitakachokuwa kigumu akabidhiwe azam? Ianze Ikulu basi!
Na rambirambi nyingi.Na kejeli nyingi.Na pole nyingi.Wanasiasa wa ccm kwa sasa wametelekeza vivuko vya Kigamboni.
Watarejea ajali mbaya ikitokea!
Kaka hawa viongozi ni kipi umeona wamekisimamia kwa usahihi asilimia 100.Sometime unaona ni bora hata nchi tuwe koloni tu la marekani labda tutasonga mbeleWampe azam nini? nchi nzima au? Ina maana kila kitakachokuwa kigumu akabidhiwe azam? Ianze Ikulu basi!
mimi baada ya kuishi kigamboni ndo nilikuja kujua serikali yangu ni hovyo kiasi gani kupitia hivyo vivukoTupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako.
Piga mbiziTupazie sauti Sisi wakazi wa Kigamboni hali ya karudi majumbani kwetu ni mbaya Sana
Sasa tunalazimika kuvuka Kwa mitumbwi ya Kasia bila life jacket na Hali ya hewa ya mvua
Boti za Zanzibar na meli kubwa zikipita mawimbi yanakuwa makubwa mno yanaweza kufunika hii mitumbwi
Tusadie kupaza sauti ili Jambo la haraka lifanyike hii adha ya kurudi majumbani kwetu ipungue au kumalizika kabisa
Wasalaam ni Mimi ndugu yako.
Piga mbizi DadaUlisoma umri wa kujiunga Jamii Forums?
Punguza shoboHili jukwaa la watu wazima, wewe nenda kwenye jukwaa lako la udaku
Wapo hivyo... Na hawaoni aibuNa rambirambi nyingi.Na kejeli nyingi.Na pole nyingi.
Wanasikitisha sana.Juzi juzi huku kwetu Tarime Vijini kulikuwa na mashindano ya mpira wa miguu kwa jina maarufu la WAIRA CUP.Cha ajabu baada ya fainali kulikuwa zawadi kwa mshindi wa kwanza Sirari na mshindi wa pili Nyamongo basi zao zote hao waliochukuwa zawadi zilipata ajali na kijana wa Sirari kufariki papo kwa papo.Kwenye mazishi yake Mbunge huyo alitoa pole na pesa lukuki kama faraja kwa wafiwa na tambo nyingi pamoja na vitisho kwa wale ambao hawakuridhika na ajali hizo.Wapo hivyo... Na hawaoni aibu